Haina Maana Lyrics by MIMI MARS


Nijipoze na nini?
Moyo mi unanipwita pwita
Nakunywa ananisahau
Bado yanakita kita

Kila siku kwanini?
Kwangu mapicha picha
Aah sina angalau

Naonyesha kujali aone napenda 
Mwenzake nisiumie
Aah nakwama 
Kuruhusu kichwani aniingie

Nikaacha kujali 
Maumivu ya kutendwa mazima nivamie 
Aaah nazama 
Na kwa yote nilotenda kwake

Haina maana, haina maana
Haina maana, haina maana

Kujishusha hata kama hanikosei
Na bado msamaha nimwombe
Kuzidisha upole nisiongee
Na bado yanidode

Na kama sina sina bahati 
Naacha kupenda
Manoti noti 
Mashachoka maumivu ya kutenda
Na kama sistahili naacha

Naonyesha kujali aone napenda 
Mwenzake nisiumie
Aah nakwama 
Kuruhusu kichwani aniingie

Nikaacha kujali 
Maumivu ya kutendwa mazima nivamie 
Aaah nazama 
Na kwa yote nilotenda kwake

Haina maana, haina maana
Haina maana, haina maana

Watch Video

About Haina Maana

Album : Haina Maana (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 17 , 2020

More MIMI MARS Lyrics

MIMI MARS
MIMI MARS
Mua
MIMI MARS
Ex
MIMI MARS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl