MAARIFA Unanikosha cover image

Unanikosha Lyrics

Unanikosha Lyrics by MAARIFA


Mmmmh unanikosha, mmh haujanitosha
Bamia zipo gengeni, dodo ki ndani ya boxer
Unanikosha, mmh haujanitosha
Sura ka Fayvanny, shape ka Sanchoka

Mate yako vipi yakatae pipi
Anajikunja hadi namuuliza nikae vipi?
Ah hapo kisanga naenjoy
Ile jini katoka alafu mganga hupo hoi

Mmh napakata kwa muda nakapata
Mwenzenu nimezibiwa panya kadaka paka
Mi mtupu we nguo halisi
Sema chochote hata ukitaka kituo cha polisi

Unanikosha ka unadaka alafu unapima
Mimi unanikosha ka unawapa alafu unawanyima
Unanikosha ka unawaka alafu unazima
Alafu naingia mwenyewe mi bila kuchimba kisima

Naitwa Maarifa mtoto wa baba
Ile kumwita mtoto akaja
Nachakarika msoto wakaba
Venye unanikosha

Akinipa napokea sikai kona
Kama mapenzi uvogi sitaki kuona
Toka MMB, naitwa Maarifa

We ndo unanikosha
We ndo unanikosha
We ndo unanikosha
We ndo unanikosha

Watch Video

About Unanikosha

Album : Unanikosha
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 06 , 2020

More MAARIFA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl