MEJJA Ulimi Yangu cover image

Ulimi Yangu Lyrics

Kenyan artist Mejja aka Okwonko new debut comical song "Ulimi Yangu" ft Dj Nephas ...

Ulimi Yangu Lyrics by MEJJA


Ni ile siku kila kitu huenda poa ah
Rent umelipa, stima umelipa
Dem hana nuks ametulia
Ako kwa moods anakupikia

Food ikiiva ashapakua
Ashaniuliza inataste aje?
Nishamwambia si ungeeka spice kiasi
Akijam namdanganya iko poa

Anadai twende out
Namwambia badilisha basi twende
Akivaa "Nakaaje kabla nitoke?"
Okey ume-colour crash
Hio top na hio mini ah-ah kwangu hazimatch

Anajam anajishika kiuno
Ananitolea mi huwa sikuget
Kila kitu mi hufanya hu appreciate
Ooops ulimi yangu kulikuwa na amani
Sasa nimeleta taabu 

Eeh! Ulimi yangu, huniletea noma tu 
Nakwambia eeh! Ulimi yangu
Huniletea nuks tu
Nakwambia eeh! Ulimi yangu huniletea noma

Ni sato jioni around 3
Nilikuwa kwa stage nategea tu ma3
Dem alinipita akasimama kando yangu
Baadae kidogo nikaona wasee watatu
Aaah wakasimama kando yake

Hakuwa anaskia wakiiba kwa kibeti yake
Nikawika "Wezi Wezi"
Kidogo wakanigeukia mimi
Wakanishika mashati wakaniangusha chini
"Iko iko" wakanipiga mangumi makofi
Wakanikanyangia chini

Mmoja akanikondolea macho
"Kijana siku ingine ufikirie maneno yako"
Watu walikuwa wanaangalia
Hakuna kitu wanafanya  na wanacheki naumia
Mpaka ule dem nilikuwa nasaidia
Nikawish ningenyamazisha ulimi
Ka hii ndo kusaidia, tena sio mimi

Eeh! Ulimi yangu, huniletea noma tu 
Nakwambia eeh! Ulimi yangu
Huniletea nuks tu
Nakwambia eeh! Ulimi yangu huniletea noma

Aah! Kwa kampuni watu walikuwa wananyanyaswa
Nikaskia kuna mgomo ilikuwa inapangwa
Na vile mi hukuwa msee wa mdomo nikaambiwa 
"Mejja we ndo utakuwa spokesman wetu"

Nikawaambia na nikipoteza kazi yangu?
Wakaniambia nitakuwa nyuma yako
Kidete mpaka mwisho 
Mgomo kuanza nilikuwa mstari wa mbele

Na maplacards na makelele
Ungeniona nilikuwa kichwa ngumu
Nikiwika "Tunataka haki yetu"
Baadae wadosi walitimiza
Ile kitu wafanyikazi walikuwa wanataka

Siku ya pili kwenda kazi mi kufika
Nikachapiwa "Mejja ushafutwa"
Nikawaambia si mnafaa kuwa nyuma yangu
Walinilenga wakaniacha peke yangu
Heri ningejua ninyamazishe ulimi wangu

Eeh! Ulimi yangu, huniletea noma 
Haha haha...

Watch Video

About Ulimi Yangu

Album : Ulimi Yangu (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 30 , 2021

More MEJJA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl