Umekuwa Mwema Lyrics by MATARA THE GENERAL


Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Mwema, mwema, mwema, mwema kwangu

Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, eeh mwema kwangu

Maishani mwangu nimeuona mkono wako
Kama si wewe sijui mimi ningekuwa wapi
Oh my God aki kudharauliwa na kuchekwa 
Nikafika mwisho tegemeo langu likawa ni wewe

Kwa sauti ya upole ukaniambia ukiniamini
Nitakufikisha pale mwanadamu hawezi kufikisha
Kama unaweza fanya yale unayoweza fanya
Yale huwezi niachie mimi

Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, eeh mwema kwangu

Hannah alipokuachia wewe usieshindwa
Hujawai shindwa huna sifa ya kushindwa
Ulitake over, umeniinua leo
Wanaulizana Mungu gani huyo

Umeniandalia meza mbele ya watesi
Ninakula na kunywa wakitazama kwa macho
Wanaulizana kweli ni yeye ama si yeye
Yesu umetenda wazi

Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, eeh mwema kwangu

Kilio chako ni cha mda tu
Mateso yako ni ya muda tu
Ukiomba kwa siri atajibu kwa wazi
Ni ushuhuda huo unaandaliwa

Usife moyo muamini Mungu
Tumaini baba yeye anakupenda
Yeye hachelewi wala hakawii
Anakuja wakati unaofaa 

Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, mwema kwangu
Umekuwa mwema kwangu, eeh mwema kwangu

Watch Video

About Umekuwa Mwema

Album : Umekuwa Mwema (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 11 , 2021

More MATARA THE GENERAL Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl