What Is Love? Every person has his own Definition Of Love.The answer differ due to everyone's...

Baikoko Lyrics by MBOSSO


(Ayolizer)
Hee ako funny
Kila nikitega kwenye line bila bila
Shuwaini
Kwake nimelewa kama wine, tila lila

Ye fisimizi na migegedu
Tunagegeduana (Gege)
Nilivyo sina jinsi, tajiri wa mbegu
Namhonga na mwana

Baba mdenge mama mzaramu
Uno lake la kuridhi (Aah)
Kafunga tenge mwali chakaramu
Shetani mwana ibilisi 

Jipu (Jipu) Uchungu (Uchungu)
Mwana nyuma umejaza kishundundu
Kwenye zipu (Zipu) Kuna kirungu (Kirungu)
Usikamate utawaita wazungu

Babu mkuna nazi (Mkuna nazi)
Kachutama kishinani
Na msuli wake uko wazi (Uko wazi)
Mambo yote hadharani

Oh oh oh oh oh
Mtoto anadaka
Golikeeper Lunyamila
Wapecha tena akikata
Anaitikisa 

Baby acha uchezaga (Baikoko)
Unavyo baby (Baikoko)
Unavyonyonga (Baikoko)
Eeh waonyeshe (Baikoko)

Baby acha uchezaga (Baikoko)
Unavyo baby (Baikoko)
Unavyoiona (Baikoko)
Eeh waonyeshe (Baikoko)

Asa komesha dengua dengua
Baby dengua dengua 
Ringa dengua dengua 
Deka  dengua dengua wakuone

Kanifonda la miguu
Anataka nipite peku (Peku peku)
Konde -- juu
Anifikishe kwetu (Kwetu kwetu)

Utamu ladha ya kitumbua
Rojo ya embe kibada (Kibada)
Hodari kunengua 
Miuno ya ushubwada (Shubwada)

Nyuma kalisasambua 
Kafungasha midavwada (Vwada)
Anavyotafuna muwa
Ka kibogoyo dada

Katoto kamelainika mwana (Mwana)
Hukapa ndizi banana (Bana)
Nakapeleka kwa mama
Mama mama Dangote

Kama kuku twakimbizana (Zana)
Kanaibuka kanazama (Zama)
Ka mwali kana balaa na laana
Laana laana ka zote

Ebo!
Mtoto anadaka
Golikeeper Lunyamila
Wapecha tena akikata
Anaitikisa 

Baby acha uchezaga (Baikoko)
Unavyo baby (Baikoko)
Unavyoiona (Baikoko)
Eeh waonyeshe (Baikoko)

Baby acha uchezaga (Baikoko)
Unavyo baby (Baikoko)
Unavyonyonga (Baikoko)
Eeh waonyeshe (Baikoko)

Asa komesha dengua dengua
Baby dengua dengua 
Ringa dengua dengua 
Deka dengua dengua wakuone

Anaifuata
Anainama anainuka mwali anaisusa
Kwa kujishebedua
Anainama anainuka mwali anaisusa

Kamata kimwana
Anainama anainuka mwali anaisusa
Kwa madoi doi
Anainama anainuka mwali anaisusa

Brrr Okey
(Kwa Mix Lizer)
Wasafi

 

Watch Video

About Baikoko

Album : Definition of Love (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 WCB Wasafi
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 09 , 2021

More lyrics from Definition of Love album

More MBOSSO Lyrics

MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl