Vimba Lyrics by MAUA SAMA


Usiku hulali unaumia tena unawaza
Kukicha maswali na stress umejaza
Inaniumiza kukuona unaumia wewe Baba
Najua unanipenda
Ila unawaza labda nitakimbia
Kisa Mimi ni Star ndo unahofia labda nitakimbia

Nimeridhika mimi (aaah aaah)
Na hali yako hiyo (aaah aaah)
Nataka uvimbe Baby (aaah aaah)
Mi ni wako pekee (aaah aaah)

Vimba Vimba Vimba (Kama unanipenda)
Vimba Vimba Vimba (Amini Unapendwa)
Vimba Vimba Vimba (Watu waoneshe)
Vimba Vimba Vimba uuuuhhh

Tambua Kipaji kanipa Maulana Ni karama
Unaponyong'onyea unaniumiza sana ooh Bwana
Tena unatetemeka (Tetee)
Ukiniona unasita, Kijasho kinakutoka (mmmh)
Wanipa Raha, si masikhara, Dhahiri nasema
Twende kwa Baba Mzee Sama
Tumalize Biashara
Najua unanipenda
Ila unawaza labda nitakimbia
Kisa Mimi ni Star
Ndo unahofia labda nitakimbia (Yeeea yeiyaaeh)

Nimeridhika mimi (aaah aaaah)
Na hali yako hiyo (aaah aaaah)
Nataka uvimbe Baby (aaah aaaah)
Mi ni wako pekee (aaah aaaah)

Vimba Vimba Vimba (Kama unanipenda)
Vimba Vimba Vimba (Amini Unapendwa)
Vimba Vimba Vimba (Watu waoneshe)
Vimba Vimba Vimba

Watch Video

About Vimba

Album : Cinema (Album)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Jun 08 , 2022

More MAUA SAMA Lyrics

MAUA SAMA
MAUA SAMA
MAUA SAMA
MAUA SAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl