OMMY DIMPOZ Baba Akupokee  cover image

Baba Akupokee Lyrics

Baba Akupokee Lyrics by OMMY DIMPOZ


Umeacha pengo twamiss wako upendo
Ulikuwa nuru ukatutoa gizani
Uliyaishi matendo, mchapa kazi mzalendo
Daima twakushukuru mziba pengo ni nani?

Mi nawazaje sa itakuwaje
Watanzania wakuonapo macho umefumba
Mi nawazaje sa itakuwaje
Ooh Magu baba siamini ka umekwenda

Baba akupokee, baba akupokee
Baba akupokee, baba akupokee
Baba akupokee, baba akupokee
Baba akupokee, baba akupokee

Rais jiwe la katikati
Washwaligoma wakasanda
Ongea tupate dalili kwa sasa unataka kwenda
Tunakusahau vipi hata kama tukitaka
Barabara madarasa haki vyote vinatusuta

Chuma ni chuma kweli tena ni chuma cha pua
Mzigo mzito miaka sita dunia imekutambua
Nchi inazizima marafiki wanaona huruma
Vijana wako roho zimebaki zinauma

Hili ni deni zito
Mungu baba akupe pepo
Tuache na upako wako
Tuangalie huko uliko
Tunabaki watoto wako kwenye nchi yako
Nchi uloivaa na ukaipenda kwa moyo wako

Baba akupokee, baba akupokee
Baba akupokee, baba akupokee
Baba akupokee, baba akupokee
Baba akupokee, baba akupokee

Watch Video

About Baba Akupokee

Album : Baba Akupokee (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 19 , 2021

More OMMY DIMPOZ Lyrics

OMMY DIMPOZ
OMMY DIMPOZ
OMMY DIMPOZ
OMMY DIMPOZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl