LOMODO Paparu cover image

Paparu Lyrics

Paparu Lyrics by LOMODO


Nakupa salamu
Uhali gani vipi haujambo
Sote binadamu
Yale ya nyuma tuweke kando
Vipi familia
Na yule ndugu yakow a kando
Nakukumbuka sana ah
Kipenzi funzi mitambo
Tangu uliponiacha nilidata
Siwakula kulala
Mingi mikasa, nikavunja pakacha
Nikakosa mbadala ooh tabu
Mimi napitia na mingi misala
Kweli iliniteka moyo
Uliniachia majeraha

Hivi umekwenda haurudi, paparu papa
Nambie ulifanya kusudi , paparu papa
Mimi nalia sina budi, paparu papa
Why ulifanya maamuzi, paparu papa

Najitafakari sipati lipi kosa
Nilikosaga sikukutimizia
Chumvi suraki sio haba ulichotaka
Ulipotaka nilikupatia eh
Inamaana mimi nilipenda wewe
Ukafanya makuzi eh wee
Hauko siriazi kweli mapenzi
Ni ushenzi ushenzi
Tangu uliponiacha nilidata
Si wakula kulala
Mingi mikasa, nikavunja pakacha
Nikakosa mbadala
Ooh tabu minapitia
Na mingi misala
Kweli uliniteka moyo
Uliniachia majeraha

Hivi umekwenda haurudi, paparu papa
Nambie ulifanya kusudi , paparu papa
Mimi nalia sina budi, paparu papa
Moyo ulifanya maamuzi, paparu papa

Watch Video

About Paparu

Album : Paparu (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Mar 05 , 2021

More LOMODO Lyrics

LOMODO
LOMODO
LOMODO
LOMODO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl