Wale Wale Lyrics by LAVA LAVA


Naumwa nina maradhi
Nipelekeni hospitalini
Mwenzenu naumwa moyo umekufa ganzi
Nimechoka kunywa quinini

Nahisi ukichaa 
Nusu tahira uchizi
Naona kinyamazongo
Niliyavagaa rambi nikaipiga mbizi
Ikanipasua ubongo (Ubongo)

Angeniambia basi, tungeachana kizungu
Ningempa nafasi, kuliko kutupanga mafungu
Nisinge gasi, japo ni ngumu machungu
Chanya na hasi, yote napanganga Mungu

Kibatari kazidisha tambi, penzi limelipuka
Ye anacheat haogopi dhambi, anaruka ruka
Moyo kaupiga bambi, umeshateuka
Popote anaweka kambi, kutwa nachepuka

Yaani ndo wale wale
Wanaokujaga na tafadhali nakupenda (Wale wale)
Wakimaliza shida zao wanakwenda (Ndo wale wale)
Ati ooh nilipotoka nilitendwa (Wale wale)
Kumbe ni waongo, waongo

Oooh nenda mwambie
Mapenzi hayana jangili yanaumiza
Tena mwambie 
Kuna walo matajiri washalizwa

Usimfiche mwambie
Mapenzi hayana utabiri si miujiza
Fanya mwambie
Mimi si wa kwanza kuumizwa

Yaliwatesa vikongwe 
Tulisoma vitabuni
Nami amenipa mazonge
Najikaza kisabuni

Sawa mimi ni mnyonge
Damu yangu ya kunguni
Mi fungu la tatu ikibonda
Mwezangu lake love me 

Angeniambia basi, tungeachana kizungu
Ningempa nafasi, kuliko kutupanga mafungu
Nisinge gasi, japo ni ngumu machungu
Chanya na hasi, yote napanganga Mungu

Kibatari kazidisha tambi, penzi limelipuka
Ye anacheat haogopi dhambi, anaruka ruka
Moyo kaupiga bambi, umeshateuka
Popote anaweka kambi, kutwa nachepuka

Yaani ndo wale wale
Wanaokujaga na tafadhali nakupenda (Wale wale)
Wakimaliza shida zao wanakwenda (Ndo wale wale)
Ati ooh nilipotoka nilitendwa (Wale wale)
Kumbe ni waongo, waongo

Mwache afanye anachotaka (Hanikomoi, wala hanikomoi)
Sishtuki hata (Hanikomoi, wala hanikomoi)
Sina hofu sina mashaka (Hanikomoi, wala hanikomoi)
Bure anatapa tapa (Hanikomoi, wala hanikomoi)

(The Mix Killer)

Watch Video

About Wale Wale

Album : Promise (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 WCB WASAFI
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 12 , 2021

More lyrics from Promise album

More LAVA LAVA Lyrics

LAVA LAVA
LAVA LAVA
LAVA LAVA
LAVA LAVA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl