Tuna Kikao Lyrics by LAVA LAVA


Sisi ni walevi, tunakesha bar
Tunatumia hela, hatujaja kushangaa
We zombie
Haujui
Mimi samba na masimba dangotee eeh
Love bite
Ninja kong fuu master (aah master)

Sisi ni walevi, tunakesha bar
Tunatumia hela, mpaka jua lianze ng’aa
Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa
Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa
Wenyewe tuna kikao
Tuna kikao, tuna kikao, tuna kikao
Eeh tupishe bwana (wenyewe tuna kikao)
Tuondolee kelele (tuna kikao)
Tupishe bwana (tuna kikao)
Eeeh (tuna kikao)

Wazee wa nyumba tutajenga mwakani (ndo zetu)
Kwanza heshima mezani (ndo zetu)
Kikubwa ghetto na bebe iwe ndani (ndo zetu)
Na mama ale nyumbani
Tukizikosa kitongo ganda la ndizi
Tukizipata ndo maboss (matumizi)
Tukiwa bwii kuhonga (ving’ang’anizi)
Tunatakaga ile kitu (ya uzinzi)

Jamani sisi ni walevi, tunakesha bar
Tunatumia hela, mpaka jua lianze ng’aa
Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa
Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa
Wenyewe tuna kikao
Tuna kikao, tuna kikao, tuna kikao
Eeh tupishe bwana (wenyewe tuna kikao)
Tuondolee kelele (tuna kikao)
Tupishe bwana (tuna kikao)
Eeeh (tuna kikao)
Eeeh eeeh

Mishoti tu zoyogo ndo chini nyan’ ganyang’a
Na ukinchekea kidogo aah umetafunwa bwana
Eeh kushoto na zombie kulia tosi
Ni mwendo wamonde na misosi
Ikukushinda chonde usijifosi
Sie mpaka ligonge la utosi
Eti nilale, nimlaie nani
Wakati pesa nimeshika ukubwani
Nilaale, kwa usingizi gani
Wakati umaarufu nimeupatia ukubwani
Na wakiutaka motoo moto nawatembezea wa kifuu
Oosh kamata mutoto ghetto kifo cha nende miguu juu
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga

Jamani sisi ni walevi, tunakesha bar
Tunatumia hela, mpaka jua lianze ng’aa
Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa
Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa
Wenyewe tuna kikao
Tuna kikao, tuna kikao, tuna kikao
Eeh tupishe bwana (wenyewe tuna kikao)
Tuondolee kelele (tuna kikao)
Tupishe bwana (tuna kikao)
Eeeh (tuna kikao)
Eeeh eeeh

Kama nikinywa mi nakukera shauri zako (shauri zako)
Kwani mifigo si ya kwangu mimi au ya kwako (au ya kwako)
Kwani natumia ya kwangu hela au ya kwako (au ya kwako)
Mtoto wa kiume punguza shobo utashikwa taa (aaaahh)
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga
Jamani sisi ni  wa

Watch Video

About Tuna Kikao

Album : Tuna Kikao (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jul 11 , 2023

More LAVA LAVA Lyrics

LAVA LAVA
LAVA LAVA
LAVA LAVA
LAVA LAVA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl