LAVA LAVA Utatulia cover image

Utatulia Lyrics

Utatulia Lyrics by LAVA LAVA


[VERSE 1]
Kiangazi masika ukiichanganya
Vyote vikashuka kwangu vitanielemea
Ntakosa pa kushika ntavavanya
Wewe ndo mwandani wangu nliokuzoea
Ntunza vyangu visiri mwenye kunisitiri
Fundi mitambo
Kinga yangu ya mwili usiyelipa bili
Kuchoma changu
Simtaki kafiri jangiri mwingi wa mambo
Moyo akaukatilli
Nikondeshe mwili
Ajifanye rambo

Si unajua
Dalili ya mvua mawingu
Ikitaka kunyesha
Huwa yanatanda
Nami si unanjua aah
Nimeumbwa na wivu
Kidogo tu presha
Yanshuka yapanda
Niahidi kama

[CHORUS]
Utatulia aaah Baby
Niahidi kama (utatulia aaah)
Hhhmm nisibaki nkashika tama
Utatulia aaah Baby
Niahidi kama (utatulia aaah)
Hhhmm wasiniibie cha ngama

[VERSE 2]
Maneno yangu
Si biblia wala masaafu
Useme usibadili hhhmm
Jichunge kipenzi changu
Unanisikia usicheze rafu
Yatimie waliotabiri
Yeah yeah…
Usijifanye ronaldinho
Penzi utie mbwembwe utahaaribu
Visokolokwinyo wakupitie denge kukujaribu
Kina capachino wakakutia wenge kwa vizabibu
Wakugongeshe mvinyo
Ukaota mapembe iwe aibu

Si unajua
Dalili ya mvua mawingu
Ikitaka kunyesha
Huwa yanatanda
Nami si unanjua aah
Nimeumbwa na wivu
Kidogo tu presha
Yanishuka yapanda
Niahidi kama

[CHORUS]
Utatulia aaah Baby
Niahidi kama (utatulia aaah)
Hhhmm nisibaki nkashika tama
Utatulia aaah Baby
Niahidi kama (utatulia aaah)
Hhhmm wasiniibie cha ngama

Eeeh eh Yani kama (ukitulia tulia)
Sitathubutu macho kupepesa (Ukitulia tulia)
Ukinipa kiduchu nitatosheka (Kama ukitulia tulia)
Sitofwata nguruchu niende teseka (Ukitulia tulia)
Eeeh Nami ntatulia

 

Watch Video

About Utatulia

Album : Utatulia (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Jul 10 , 2018

More LAVA LAVA Lyrics

LAVA LAVA
LAVA LAVA
LAVA LAVA
LAVA LAVA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl