Nilinde Lyrics by KUSAH


Mmmh mmmh, oooh ooh
Aiiiehh eeh eeeh
(Gachi beats)

Nawaza na sipati majibu
Mbona haya ni majaribu
Au Baba unanijaribu
Maana mi sipati jawabu ila

Labda langu ni dogo
Kuna makubwa ya wengine
Yaani kwa hiki kidogo
Nisikufuru na mengine

Mmmh kuna muda mi nakataga tamaa
Najiuliza lini nitasimama
Mbona mimi ni wa kushika tama
Mmmh

Si unajua maadui ni wengi
Kuna muda mi nawazaga mengi
Maana mambo yananoga
Labda wananiroga

Maana napiga zoga
Hadi napata uoga
Maana mambo yananoga
Labda wananiroga

Maana napiga zoga
Hadi napata uoga

Oooh Baba nilinde, Baba nilinde
Niepushe nikinge, simama nilinde
Basi Baba nilinde, Baba nilinde
Niepushe nikinge, simama nilinde

Mmmh...mmmh mmmh
Ayee ayee ayeee

Kuna muda nalia 
Nikifikiria naona hili ni dogo
Maana kuna wasio na hatia
Na wamepotea wangali wadogo

Ila mimi napumua
Na pumzi silipii sasa nitake nini?
Ati nisipate matatizo milele
Kwani mi ni nani?

Si unajua maadui ni wengi
Kuna muda mi nawazaga mengi
Maana mambo yananoga
Labda wananiroga

Maana napiga zoga
Hadi napata uoga
Maana mambo yananoga
Labda wananiroga

Maana napiga zoga
Hadi napata uoga

Oooh Baba nilinde, Baba nilinde
Niepushe nikinge, simama nilinde
Basi Baba nilinde, Baba nilinde
Niepushe nikinge, simama nilinde

Baba nilinde, Baba nilinde
Baba nilinde, Baba nilinde
Baba nilinde, Baba nilinde
Baba nilinde, Baba nilinde

Watch Video

About Nilinde

Album : Nilinde (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 04 , 2020

More KUSAH Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl