Mtuache Lyrics by THE DREAMERS


Ooohh
Mpya nguo sina kila siku mnaniwaza mnaniwaza
Eti nimepinda kila siku ninalizwa ninalizwa
Si bora mngetuacha
Kwani mnanidaiii
Sibora mngeniacha
Kwani mnanidaiii

Aaaaah Mama amekuita Veronica
Mimi nakuita sinorita Mama sita malavidavi
Telemundo temtelevida
Kweli shida zipo Ila mi nataka kuishii naaaa

We jua nakupenda sanaa sanaa aaah
Fanya fanya twende kwa mama  mamaa aah

Aaaah ye wa maishani ... bring but say (Aaaaah)
Tupo kifungoni ... what can I say (aaaaah aaah)
Ye wa maishani, maishani, maishani (aaahaa)
Tupo kifungoni oooho

Toto lina shape nyuma limenona nona jina
Minapiga peku ile mbuzi kagoma
I swear my darling we mama laaa mama laoooo
Unanipenda unanijali unanifaaa aaah

Naona nyota imewaka kila kona
Kila mmoja anafurahi kuniona
Kila kitu kiko shegaa hakuna nomaaa
Eeeh hakuna noma
Nipe kisu nikate nyama
Ikiiva nikulishe nikulishe eeh...
Lako kiss siwezi kusema na pete nikuvishe ..eeh

Aaaah aaaha ye wa maishani ... bring but say (aaaaah)
Tupo kifungoni ...what can I say (aaaaah aaah)
Ye wa maishani, maishani, maishani (aaah)
Tupo kifungoni

 

Watch Video

About Mtuache

Album : Mtuache (Single)
Release Year : 2021
Added By : The Dreamers
Published : Jul 23 , 2021

More THE DREAMERS Lyrics

THE DREAMERS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl