TIMBULO Sina Neno cover image

Sina Neno Lyrics

Sina Neno Lyrics by TIMBULO


Zogo, kelele lawama nilizoea
Kila siku anakuja analia
Maneno nasikia

Rafiki zake wanasema
Mimi simfai kwa maisha
Ndugu jamaa wanasakama
Eti mi mhuni kabisa

Hawakujua unanipenda kiasi gani
Wasingedhubutu tenganisha
Sababu kwako kuishi ni mimi
Tukitengana takukosa

Si mi ndo nimekupa heshima
Hivi bado wananiona zero
Samaki bila ndimu mi nitachina
Okoa milinaodhawa yangu roho

Aah sina kinyongo nao
Ah nimewasamehe
Aah matabia zao
Aaah aaah 

Sina neno, moyoni, sina neno
Na makosa yote nimefuta mi nimewasamehe
Sina neno, moyoni, sina neno
Na mabaya yao nimeyafuta mi nimewasamehe

Sikutolewa nyongo nayo
Natamani nijiwekee mipaka
Ila no roho mbaya sina

Wanadamu tunapishana upeo
Ndio maana yote nimeyafuta
Tena hata kinyongo sina

Na wakasema sina lolote
Nitakupa nini
Hatutofika popote

We ukasema 
Mwendo wa chai na mkate
Umenishiba mimi
Wapi naenda nifuate ee

Nimeyabadili maisha yako nikakupa heshima
Hivi bado wananiona zero
Samaki bila ndimu mi nitachina
Okoa milinaodhawa yangu roho

Aah sina kinyongo nao
Ah nimewasamehe
Aah matabia zao
Aaah aaah 

Sina neno, moyoni, sina neno
Na makosa yote nimefuta mi nimewasamehe
Sina neno, moyoni, sina neno
Na mabaya yao nimeyafuta mi nimewasamehe

Watch Video

About Sina Neno

Album : Sina Neno (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 07 , 2020

More TIMBULO Lyrics

TIMBULO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl