LAVA LAVA Single cover image

Single Lyrics

Single Lyrics by LAVA LAVA


Eeeehhhh….. ehhhee… aye e…
Miaka ishirini na tatu sasa
Lava nimekua
Si mtoto tena
Nisha pitia mingi mikasa
Na nimesha jua
Lipi baya na jema
Wazai wanauliza kutwa wanapanda juu
Etikabla Hawajakufa waone wajukuu
Na mitandaoni kukikucha mashabiki buu
Mbona unatuyeyusha VIP Shemeji

Wen do kipenzi cha walimbwende tunaona
Insta yako DM Imenoma
Unapendwa wadada kila kona tunaona
Haaa wanashona chingwea musoma
Wanakuja kwa wingi mbona
Na mabusu unapigwa tunaona tunaona
Mpaka unazimia VIP

[HOOK]
Nipo single… Wanauliza vip
Nipo single … Wanauliza vip
Nipo single… Heee Wanauliza VIP
Mbona nipo single

Hummm mashabiki wengine visilani
Hawana dogo
Wakikuandama jamani
Kukuzodoa zodo
ET muangalie Rayvanny
Yake mikogo
Analinga na mama Jaidan
hwataki shobo

Eeeh ! Na wengine hunambia
Jogoo hapandi mtungi
Mbona wa kina rukia
Na kina mbosso kirungi
Achaga masihara
Harmonize anajumwaga na Sarah  huum
Jitahidi tafadhari
Upate yeyete
Heee kaza usiwe fala
Zichange hizo gwala gwala
mmilko hamiza na zari
Kachubu Dangote
We ndo kipenzi cha walimbwende tunaona
Insta yako dm  Imenoma
Unapendwa wadada kila kona tunaona
Ha! Wanashona chingwea musoma
Wanakuja kwa wingi mbona
Na mabusu unapigwa tunaona tunaona
Mpaka unazimia vip

[HOOK]
Nipo single… Wanauliza VIP
Nipo single … Wanauliza VIP
Nipo single… eeh Wanauliza VIP
Eeh Mbona nipo single

 

Watch Video

About Single

Album : Single (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Aug 07 , 2018

More LAVA LAVA Lyrics

LAVA LAVA
LAVA LAVA
LAVA LAVA
LAVA LAVA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl