KONTAWA Sura Ya Baba cover image

Sura Ya Baba Lyrics

Sura Ya Baba Lyrics by KONTAWA


Raundi hii milima imekutana
Mi nachekanga tu
Eeeeeh Sura ya Baba

Yeah Yeah aah
Moyo ukiamua Kupenda 
Unapenda Bana
Anadai nitampaa Nini mtu mwenyewe
Sina mafupa
Hebu mwambieni Mimi nimepanga 
Kumpaa mimba

Maana Ana sura nzito Hadi naogopa kumjibisha
Kwanza umbo Namba Tisa
Maana Ana ziwa kubwa kuliko ziwa 
La Tanganyika
Kwa kusema Ukweli akii acha malingo 
Mama
Hapa sitazidi ata akiplidi mwaka mzima

Wake wanawivu Kama yote
Mapenzi Kama yote
Aje nimpee mimba azae watoto Kama wote

Sura ya Baba
Juu najua nyinyi
Sura ya Baba
Madharau hivi kwa Nini
Sura ya Baba
Oooooh ooh ohh 
Sura ya Baba 
Eeeh Eeeh Sura Ya Baba

Eeeeeeh akipiga picha Mia 
Mzuri anapata moja
Anaumbo nzuri na Sura Kama 
Ukitaka Kumuona Vizuri Baba kunywa Chupa moja 
Be humble Sit Down
Naskia Subira Huvuta Heri sikuizi anavuta Sigara
Mmewaza nje ya boxi Sura ya Baba
Juu najua nyinyi
Sura ya Baba
Madharau hivi kwa Nini
Sura ya Baba
Oooooh ooh ohh 
Sura ya Baba 
Eeeh Eeeh Sura Ya Baba

Nimewaza nje ya duara

Watch Video

About Sura Ya Baba

Album : Sura Ya Baba
Release Year : 2019
Copyright : ©2019
Added By : Its marleen
Published : Apr 24 , 2020

More KONTAWA Lyrics

KONTAWA
KONTAWA
KONTAWA
Mke
KONTAWA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl