DIAMOND PLATNUMZ Kizaizai remix cover image

Kizaizai remix Lyrics

Kizaizai remix Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


{Verse 1}
Yanaanza kama safari twende folani ukaone,
Kumbe yana nguvu ni hatari ukishanasa ndio uponie..x2
Mungu aliumba dunia na Maajabu yaake
Ya mwenzako sikia omba yasikupate, eeih ..x2

{Chorous} x2
Nyie Mapenzi yanauma (Kizaizai)
Yanaumiza (Kizaizai)
Oooh kizunguzungu jamaa mapenzi mabaya
Weza gombana na Ndugu (Kizaizai)
Rafiki akawa Mubaya (Kizaizai)
Kazi ukaona chungu (Kizaizai)
Nyie Mapenzi karaha (Kizaizai)

{Verse 2}
Yananyima furaha....
Yanakosesha raha....x2
mmmmm
Tena usiombe kupenda uliempenda ajuee
Tena usiombe kupenda uliempenda ajue
Amani utakosa Karaha jamani eeeh..
Dunia tena chungu kufa utatamani eeh..
Mungu aliumba dunia na Maajabu yake
Ya mwenzako sikia omba yasikupate, eeih ..x2

Nyie Mapenzi yanauma (Kizaizai)
Yanaumiza (Kizaizai)
Oooh kizunguzungu jamaa mapenzi mabaya
Weza gombana na Ndugu (Kizaizai)
Rafiki akawa Mubaya (Kizaizai)
Kazi ukaona chungu (Kizaizai)
Nyie Mapenzi karaha (Kizaiza
Baba na mama watake
Chakula tamu ni sumu
Mashoga sasa wanafiki
Kulala nanyi ni ngumu
eeh yanauma tena yanauma

So Mkumbatie akicheza ucheze nae
akiringa aeende...x2
Mkumbatie akikata ukate nae
akiringa aeende...x2

 

 

Watch Video

About Kizaizai remix

Album : Lala salama
Release Year : 2012
Copyright : (c)2012
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 03 , 2020

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl