KONTAWA Champion Remix cover image

Champion Remix Lyrics

Champion Remix Lyrics by KONTAWA


Jam on the beat

Aaa yeeeh I’m the winner
I’m the champion
Aaa yeeeh I’m the winner
I’m the champion

Yea
Mi nimezaliwa mtwara
Huku ndanindani chitoholi na rendele
Pengine hata bibi yangu na babu bado
Wajua raisi ni nyerere
Huko kwetu machawa wapo
Tena wakikungata wnakuwacha na vipele
Na sio machawa wa mjini
Hadi motto wa kike wanamuonea gere
Men sikumbuki kama mungu nisha muomba utajiri
Ila kanipa kwa sababu nastahili
Busara kwangu ni jambo la siri
So usishangae wakiniitanga zobanhiri
Nime toboa mbele  mkubwa na tale
Kipara na sake wa tandalee
Hizi sio zama za kale
Mziki uko huru
Piga mziki tumebaki wawili
Haikua riziki wanangu cheed na killy
Ma sister angella wamemshika killy
Waambie konde gang ni jeshi la mtu mbili

Aaa yeeeh I’m the winner
I’m the champion
Aaa yeeeh I’m the winner
I’m the champion

Tumeishi na watu wanao amini kwenye mpango wa mungu kuna mkono wa mtu
Tumeshi na watu wanao amini sikukuu ndio siku ya kuchinja kuku
Ooya wee
Tumeishi na watu ambao walitembea na  umeme lakini bado nyumbani walikosa luku
Tukaishi na watu wanao amini bahati bahai zote alipangiwa bukuku
Apo mwanzoni waliamini atutopata mafanikio
Walio tugagilia wakauza mafagio
Eeh mtaani kwetu sio
Mtu aliye toboa sana alitoboa sikio
Chumba kimoja analala dada na kaka
Watu awatupi msosi ata ukichacha
Baba chambazi motto anajiuza mtaani
Mama mchawi nyumbani atabaki nani

Aaa yeeeh I’m the winner
I’m the champion
Aaa yeeeh I’m the winner
I’m the champion
Champion champion

Watch Video

About Champion Remix

Album : Champion Remix (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Nov 15 , 2022

More KONTAWA Lyrics

KONTAWA
KONTAWA
KONTAWA
KONTAWA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl