Benchi Lyrics by KING KAKA


Ile design nafunga utadhani Ramadhan
Ita soldier bana mi ni badder dan
Paka fala inakula panya na mimba
Ukipenda chips mama ngoja pia mimba

Mi msafi aisee siongelei Simba
Happiness tu imeshinda mpaka Coke
Hauwezi niget kama inside joke
Hauwezi niget kama muslim na pork

Game haitaki kesi na hasira
King kaka bana Messi na mpira
Zungusha kama kiuno cha Shakira
Ninavalishwa lakini jua ma hakuna busu
Round benchi litawahusu

Ndio maana wana wanamishi
Wakiwa wanachoma waja wafungisha
Ndio maana wana wanamishi
Wakiwa wanachoma watawafungisha

Waambie benchi, benchi 
Benchi litawahusu
Waambie benchi, benchi 
Benchi litawahusu

Ololololoo, ololo, olololo (Lololo)
Ololololoo, ololo, olololo (Lololo)

Cheki, cheki, cheki, cheki
Cheki vile crown inatoshea fiti
Mistari imesimama ndio maana nakalia kiti
Si utume picha nikucheki whatsapp

Kama hautoshi unapigwa kasub
Na maji inakatwa tuko na Liquid
Beat ya S2kizzy mama nimechizi
Nishow chuki IG nashoiwa love UG
Nashow iwa love jiji, nashow iwa love TZ

Iiii Benchi! 
Iiii Benchi! 

If you know you know, niko na tupesa twa kublow
Trust me, if you know you know
Nikisema Rolex simaanishi chips na mayai
Sio kwa shamba niko na tuchips kwa ndae

Ndio maana wana wanamishi
Wakiwa wanachoma waja wafungisha
Ndio maana wana wanamishi
Wakiwa wanachoma watawafungisha

Waambie benchi, benchi 
Benchi litawahusu
Waambie benchi, benchi 
Benchi litawahusu

Ololololoo, ololo, olololo (Lololo)
Ololololoo, ololo, olololo (Lololo)

Iiii Benchi! 
Iiii Benchi! 

Ololololoo, ololo, olololo (Lololo)
Ololololoo, ololo, olololo (Lololo)

Waambie benchi, benchi 
Benchi litawahusu
Waambie benchi, benchi 
Benchi litawahusu

Eyoo Billnass 
Naskia wanacomplain sana
Wanasema wameganda
Umewauliza wameganda kwa nini?
Wamekazana kwa mechi
Si unaelewa if you know you know

King Kaka, Bilnass, kubwa...
(Its S2kizzy beiby)

Watch Video

About Benchi

Album : The Servant & The King Mixtape / Benchi (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Kaka Empire.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 12 , 2020

More KING KAKA Lyrics

KING KAKA
KING KAKA
KING KAKA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl