NEBULAZZ Gari Weka Kando cover image

Gari Weka Kando Lyrics

Gari Weka Kando Lyrics by NEBULAZZ


Afisa afisa(Hii gari weka kando)
Gari yangu haina shida(Gari weka kando)
Kuna kachai aii (Wacha hiyo maneno yako)
Kijana weka gari kando

Afisa afisa(Hii gari weka kando)
Gari yangu haina shida(Gari weka kando)
Kuna kachai aii (Wacha hiyo maneno yako)
Kijana weka gari kando

Niko round zangu na gari yangu
Na dem wangu na tunaenda kwangu
Karao amenona ka nguruwe
Na gari yangu wanataka waikague

Eeeh lazima nikague 
Umetoka wapi? Unaenda wapi?
Gari ni ya nani? Sura kama nyani
Na huyu ni nani? Anaitwa Kanini

Mmetoka wapi? Tumetoka Cani
Kufanya nini? Kukula majani
Aiyayaya utalala ndani
Mkubwa mkubwa, afisa afisa

Mkubwa ni wewe, tokeni nnje tokeni
Aii na huyu Kanini amebeba
Si hii ni excess
Kijana unabeba excess

Afisa afisa(Hii gari weka kando)
Gari yangu haina shida(Gari weka kando)
Kuna kachai aii (Wacha hiyo maneno yako)
Kijana weka gari kando

Afisa afisa(Hii gari weka kando)
Gari yangu haina shida(Gari weka kando)
Kuna kachai aii (Wacha hiyo maneno yako)
Kijana weka gari kando

Afisa usinikazie, tuelewane nikupeleke na rieng'
Rieng ni gari ya kwenda wapi?
Makosa yako unaniita mkubwa
Unanijua? Unajua cheo yangu? Niko na kilo ngapi
Wewe wacha hiyo maneno bwana
Kwani mi ni rika yako, kwenda huko

Afisa do you know me?
Do you know who I am? Don't bwogo me
Of course I don't know you, nafaa kukujua?
Kwanza enda leta hiyo license

Na wewe msichana, unaitwa nani? 
Unatoka wapi? Si twende kwangu
Nipatie namba yako kwanza
Wewe ni exhibit

Afisa afisa(Hii gari weka kando)
Gari yangu haina shida(Gari weka kando)
Kuna kachai aii (Wacha hiyo maneno yako)
Kijana weka gari kando

Afisa afisa(Hii gari weka kando)
Gari yangu haina shida(Gari weka kando)
Kuna kachai aii (Wacha hiyo maneno yako)
Kijana weka gari kando

Hii gari weka kando
Kijana weka gari kando
Hii gari weka kando
Wewe ni exhibit 

Watch Video

About Gari Weka Kando

Album : Gari Weka Kando (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 04 , 2019

More NEBULAZZ Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl