Nimejam Lyrics by KAPPY


Yoh Kappy, YP
Sijakung'ora
Niko mstii 

(Siren on the Beat)

Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Naskia nipashe mbogi 
Ju ya venye leo nimejam

Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Naskia nipashe mbogi 
Ju ya venye leo nimejam

Psycho biz mi ni biz kwa soko
Utadhani ndani ya biz mi ni biz bazenga
Ndani ya kadinga jeshi yangu 
Si unaskia mi ndio kusema
Warazi mazishi niliwazika mahali pema 

Ka ni kuroga mi hurogaga ligi solo
Na mbogi ya the dipper leo nahukia fari bolo
Mistari zilicheza na zikashinda kikombe
Ndio maana nyi hutaka nirumbukizaga daila

Kama ni beef mi hufinikaga na poach
Usibishane na mi nikiteme more teasaga
Nyi muwapeaga siri zangu za kukafunga
So nikibonga naniii magoti chini 

Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Naskia nipashe mbogi 
Ju ya venye leo nimejam

Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Naskia nipashe mbogi 
Ju ya venye leo nimejam

We huliza mbona daktari mbogi imegwaya
Ju ngoma zangu zote Nairobi ni kama choir
Na table unadishi siku hizi unaskii ni za wakuu 
Si hubonga lugha moja na lugha ni za madoo

Ju kitu nafanya mi hufanyaga tizi na passion
Maziwa ni mimi na keki ni ya minors
Si toja na ndula zote nimedunga za Nike
Cheki raundi nakula Kayole dinga imevai

Na sijali ju moti imejaaga moshi ya ngwai
Najidai nimenyanyisha mistari ni high 
Why lie mi hutoaga mahit ka zote
Ndio maana mistari mi hufeelingi ka nimeivisha

Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Naskia nipashe mbogi 
Ju ya venye leo nimejam

Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Naskia nipashe mbogi 
Ju ya venye leo nimejam

Naskia unaweza waroga
Na bado mi hukaranga
Naskia unaeza wadiss
Mi sio miss mi ndio beast

Naskia we ndio kusema
Maproducer watatii
Naskia unapatikana
35/60

Nimeweka tinga kinara nawakilisha
Na wakizoga waambie ndawabakisha
Nimeomoka walai mi huwatisha
Na niko na kadeng'a kwa keja mi hukaficha

Napenda akivuta mangwai masa akichachisha
Na Jeshi ya Manyanja Kayole yote zidisha
Kijana si ni dogo lakini ameshika doh
Pesa ni nyingi daily unaskia mi huzidara

Na jina ni biggy zigi unaskia mi ndio number
Hao wengine tusemange labda ni wannabes
Siwezi dishi chura mi huzikulanga mafinger
Mi huzichocha kuna masamu ringa

Mi rapper kuna masaa mi singer
Mi ni gangster na kuna venye mi huimba
Mi ni gava na stakangi wasanii wanaburn
Mi husakanga wasanii wanaroga mauwano

Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Naskia nipashe mbogi 
Ju ya venye leo nimejam

Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Nimejam, leo nimejam
Naskia nipashe mbogi 
Ju ya venye leo nimejam

Watch Video

About Nimejam

Album : Nimejam (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 .
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 17 , 2020

More KAPPY Lyrics

KAPPY
KAPPY
KAPPY
KAPPY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl