GUARDIAN ANGEL Utashangaa cover image

Utashangaa Lyrics

Utashangaa Lyrics by GUARDIAN ANGEL


Hesabu baraka zako moja kwa moja
Zipe majina, zipe majina
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Na utashangaa yale Mungu ametenda

Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa
Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa yale Mungu ametenda

Kumbuka ulipokuwa umelazwa
Wakakata tamaa
Wakatuma ujumbe kwa wote
Marafiki jamaa

Wakasema huyo ametuacha
Yamebaki masaa
Ona sasa ulivyo na afya nzuri
Bwana ametenda

Umeiona siku ya leo, Bwana ametenda
Familia uliyo nayo, Bwana amekupa
Hata nguo ulizo nazo, Bwana amekupa
Oooh we utashangaa yale Mungu ametenda

Hesabu baraka zako moja kwa moja
Zipe majina, zipe majina
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Na utashangaa yale Mungu ametenda

Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa
Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa yale Mungu ametenda

Yesu ana mikate mitano na samaki wawili
Na kuna watu elfu tano wake pia watoto
Neno lasema alishukuru na vikaongezeka
Watu wakala na vikabaki vinashangaa

Jifunze kumshukuru Bwana
Kwa hicho ulicho nacho
Hata kama ni kidogo sana 
We shukuru unacho

Kuna yule anayetamani
Kuwa hapo ulipo
Wewe utashangaa 
Yale Mungu ametenda

Hesabu baraka zako moja kwa moja
Zipe majina, zipe majina
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Na utashangaa yale Mungu ametenda

Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa
Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa yale Mungu ametenda

Watch Video

About Utashangaa

Album : Utashangaa (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 7 Heaven Music.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 27 , 2020

More GUARDIAN ANGEL Lyrics

GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl