IBRAAH Tunapendeza  cover image

Tunapendeza Lyrics

Tunapendeza Lyrics by IBRAAH


Mmh mmh mmh
Mmh mmh mmh
Chingaa
Yaw yaw
Mmh mmh mmh
Mmh mmh mmh

Kama mapenzi yangekua nyumba wewe mchanga mimi tofari
Acha waseme umenifanyia ndumba
Mie hata sijali
Mama nisipo kupenda wewe nitampenda nani niambie
Yani kama nisipo kupenda wewe ntampenda nani niambie

Aah mjeshi kamanda na nyota Ila kwenye mapenzi nasota
Usiku nikilala nakuota nakuota wewe hapo
Mjeshi kamanda na nyota Ila kwenye mapenzi nasota
Usiku nikilala nakuota nakuota wewe hapo
Pancha mi moyo wangu pancha bila we mi siwezi tembea, siwezi tembea
Usije ukaniacha babe ukaniacha, wanafki watanizomea watanizomea

Mimi na wewe tuu uuuh
Tunapendeza tunapendeza
Mimi na wewe tuu uuuh
Tunapendeza tunapendeza
My baby boo uuuuh
Tunapendeza tunapendeza
And me and you uuuuh
Tunapendeza tunapendeza

Ukiwa mbali nakumiss upweke si jambo rahisi
Jichunge maa kuna ibilisi mmmh
Tunavyogombana kesho tukapatana kipimo tosha tunapimana
Kiasi gani tunapendana eeh
Tunavyogombana kesho tukapatana kipimo tosha tunapimana
Kiasi gani tunapendana eeh
You’re you
You’re the one am going to marry you
Uwe wa halali uwe wangu tu
Umenipa pancha pancha mi moyo wangu pancha
Bila we siwezi tembea siwezi tembea
Usije ukaniacha baby ukaniacha
Wanafki watanizomea watanizomea

Mi na wewe tuu uuuh
Tunapendeza tunapendeza
Mi na wewe tuu uuuh
Tunapendeza tunapendeza
My baby boo uuuuh
Tunapendeza tunapendeza
Am me and you uuuuh
Tunapendeza tunapendeza
Tunapende tunapendeza
Aah chinga

Watch Video

About Tunapendeza

Album : Tunapendeza (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jun 30 , 2023

More IBRAAH Lyrics

IBRAAH
IBRAAH
IBRAAH
IBRAAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl