HAMADAI Andida cover image

Andida Lyrics

Andida Lyrics by HAMADAI


Anandida huyoo

Nimempima malaria hana, nimempina
Nimempima typhoid hana, nimempima
Nimempima na kaswende hana, nimempima
Nimempima HIV hana, nimempima 

Nataka nimpeleke kwa mama anaogopa
Nikamtambulishe kwa wana anaogopa
Mwenzenu mi bado kijana naogopa
Sijui ana ugonjwa gani huyu maana naogopa

Kumbe anandi, anandida anandi (Andida)
Huyo anandi, anandida anandi (Andida huyo)
Kumbe anandi, anandida anandi (Andida)
Anandi, anandida anandi (Andida huyo)

Toto kinanda shepu kibanda, ila mmh mmh
Kiuno cha langa, chambu karanga ila, anandi
Muda wote nasikia kiu kiu, aah kiu kiu
Hataki maji anataka naniliu, aah naniliu

Corona kisukari, hana
Gono, UTI, hana
Kipindu pindu yuko shwari, hana
Kumbe ana nini, anandi

Nataka nimpeleke kwa mama anaogopa
Nikamtambulishe kwa wana anaogopa
Mwenzenu mi bado kijana naogopa
Sijui ana ugonjwa gani huyu maana naogopa

Kumbe anandi, anandida anandi (Andida)
Huyo anandi, anandida anandi (Andida huyo)
Kumbe anandi, anandida anandi (Andida)
Anandi, anandida anandi (Andida huyo)

 

Watch Video

About Andida

Album : Andida (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 12 , 2021

More HAMADAI Lyrics

HAMADAI
HAMADAI
HAMADAI
HAMADAI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl