JOH MAKINI Content cover image

Content Lyrics

Content Lyrics by JOH MAKINI


(Bobo made it)

Content(Maudhui)
Content eeey

Content, content, content, content
Maudhui maudhui maudhui, maudhui, maudhui(Content)
Maudhui maudhui maudhui, maudhui, maudhui(Content)

Pambana hela yote tuvunje manyozi(Content)
Nukisha kivyovyote tugonge maviews(Content)
Ubora umeadimika shinda bikra, excellence is missing
Ni kama zima jalalani fikra, takataka discipline
Masela hawagongi like picha mpaka waone Gstring
Brand zinawekwa rihani, mambo ya ndani hadharani
Ni funza wamejaa vichwani ama ni kutafta kukaa hewani
Chap chap utambi yaani, umaarufu ni pombe gani?

Matap tap kabisa yaani
Kuna kufunga ndoa, kutafuta familia na watoto wa kulea
Na kuna kufunga ndoa kutafuta content, mambo ya kuongelewa(Content)
Kulia lia kwenye interviews, kuchafulia majina ma ex(Content)
Kupagawishwa na kubreak manews, kujichulia vifo kiwepesi(Content)

Maudhui maudhui maudhui, maudhui, maudhui(Content)
Maudhui maudhui maudhui, maudhui, maudhui(Content)

Tunapenda sana ichukue nafasi yake (Content)
Tunataka ukweli ukalie kiti chake(Content)
Tunapenda sana ichukue nafasi yake (Content)
Tunataka ukweli ukalie kiti chake(Content)

Maudhui maudhui maudhui, maudhui, maudhui(Content)
Maudhui maudhui maudhui, maudhui, maudhui(Content)

Wanasema wasanii elimisheni(Content)
Mara ooh wasanii badilikeni(Content)
Wakiskia kuna video chafu ambayo imesambaa
Hawana haya kutafuta maconnection
Wanasaka maconnection 
Kumbe kuna jinga lipo kwenye mission
Kuna jinga linatafuta ma attention
Attention please

Usinimind mwana take it easy
Kuna kazi nataka kurelease
And I know yule wali ndizi(Content)

Mahubiri siku hizi si ju ya nini Adamu alikula tunda(Content)
Mahubiri siku hizi ni juu ya habari ya kula tunda(Content)
Wanasiasa wanatengeneza brand hawazingatii maendeleo(Content)
Wanazingatia picha na wanakijiji kuliko maendeleo ya kijiji(Content)
Cha msingi kule kwenye mitandao ionekane ameondoka na wanakijiji(Content)

Msanii mchanga unaumia na sio kweli kwamba hujui mziki
Jamaa wanasema huzungumziki, huna matukio interview vipi?(Content)
Hatununui pombe kupandisha kwa kichwa
Tunasaka mapicha kupandisha kwa Insta
Vile tukishindwa kujikomboa Africa
Tunajikuta tu ulaya mababy sitter
Maumbea maudaku tuko Insta 
Harakati si tunazifanya twitter

Tunapenda sana ichukue nafasi yake (Content)
Tunataka ukweli ukalie kiti chake(Content)
Tunapenda sana ichukue nafasi yake (Content)
Tunataka ukweli ukalie kiti chake(Content)

Maudhui maudhui maudhui, maudhui, maudhui(Content)
Maudhui maudhui maudhui, maudhui, maudhui(Content)

Watch Video

About Content

Album : Content (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 14 , 2020

More JOH MAKINI Lyrics

JOH MAKINI
JOH MAKINI
JOH MAKINI
JOH MAKINI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl