HAMADAI Chawa cover image

Chawa Lyrics

Chawa Lyrics by HAMADAI


Tumbo lasokota njaa inauma
Chakula kipi eti
Najitahidi nikutoe mawazoni mwangu
Nikusahau

Yarabi nafsi yangu juu yako
Haiambiliki
Nishajaribu na mbuli ya kukonda
Kau kau

Nife wanizike, ila kwambiwa nikwache wewe 
Ni sawa na kutwanga 
Maji kwenye kinu
Nimeridhia mimi mwenyewe
Ata nikuone mara moja kwa msimu

Kweli nasema nakupenda mama wewe
Kweli nahema ila mapigo ya moyo
Checheme checheme

Chawa chawa
Mi kwako chawa niburuze unavyotaka
Chawa, shufa la mbatata

Chawa chawa
Mi kwako chawa nipeleke unavyotaka
Chawa, shufa la mbatata

Ujishtukie
Ukipata visafari vyako vya usiku 
Nimekurusu nenda
Wala usiwaze
Eti mpaka unipeti kwa mabusu
Aah sijali nenda
Ni kweli lauma ila nitazoea
Mi kwako kolombwe puzi lako laninogea mimi

Nife wanizike, ila kwambiwa nikwache wewe 
Ni sawa na kutwanga 
Maji kwenye kinu
Nimeridhia mimi mwenyewe
Ata nikuone mara moja kwa msimu

Kweli nasema nakupenda mama wewe
Kweli nahema ila mapigo ya moyo
Checheme checheme

Chawa chawa
Mi kwako chawa niburuze unavyotaka
Chawa, shufa la mbatata

Chawa chawa
Mi kwako chawa nipeleke unavyotaka
Chawa, shufa la mbatata

Watch Video

About Chawa

Album : Chawa (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 06 , 2020

More HAMADAI Lyrics

HAMADAI
HAMADAI
HAMADAI
HAMADAI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl