Neno Lyrics by FENNY KERUBO


(Jawabu Studios)

Neno, neno, neno, neno, neno la Mungu
Limetuchonga chonga
Limetutengeneza, limetutengeneza
Limetuchonga chonga
Limetutengeneza, limetutengeneza

Lainisha, lainisha
Lainisha, lainisha
Lainisha, lainisha
Lainisha, lainisha eeh

Hapo mwanzo palikuwa na neno
Hapo mwanzo palikuwa na neno
Nalo neno lilikuwa Mungu
Nalo neno lilikuwa Mungu

Wachawi wote, hawataweza
Wachawi wote, hawataweza
Mpinga Kristo hataweza
Halipingiki, halipingiki

Neno, neno, ni nyundo
Mamamamamama
Ni upanga
Ukatao kuwili kuwili

Lainisha, ah lainisha
Linalainisha, linasawazisha
Ah linaweza, lina maarifa
Sikilize na neno lake
Sikilize Mungu analo neno

Neno la Mungu ni taa yako
Neno la Mungu ni uzima wa milele
Neno la Mungu ni mwanga wa njia zako
Hulainisha, hulainisha
Hulainisha, hulainisha
Lainisha, lainisha eeeh..

Lainisha, lainisha
Lainisha, lainisha eeh

Neno, neno, neno, neno la Mungu
Limetuchonga chonga
Limetutengeneza
Limetuchonga chonga
Limetutengeneza

Lainisha, lainisha
Lainisha, lainisha
Lainisha, lainisha
Lainisha, lainisha eeh

Cheza na maneno, bali si neno
Cheza na maneno, bali si neno
Maneno maneno maneno ya wanadamu
Maneno ya wanadamu

Lakini si neno la Mungu
Walocheza nalo waliangamia
Walocheza nalo walikufa
Walocheza nalo walilaaniwa

Wana, wana wa Eli walilaaniwa
Walipocheza na madhabahu
Walipocheza na vitu vya hekalu

Sikilize Mungu na neno lake
Wanadamu wana maneno mengi
Meneno ya wanadamu huleta mauti
Meneno ya wanadamu huleta kilio
Meneno ya wanadamu huumiza moyo
Meneno ya wanadamu hufarakanisha nyumba
Meneno ya wanadamu huharibu akili

Neno la Mungu ni Uzima wako
Neno la Mungu ni Uzima wako

Linalainisha, linatawazisha
Linafurahisha, linaleta afya

OOh lainisha, lainisha
Neno linalainisha
Lina leta raha, lainisha eeh

Lainisha, lainisha
Lainisha, lainisha
Lainisha, lainisha eeh

Nasema litasonga litaenda mbele
Nasema, neno litaendelea
Nasema lazima

Simama, simama
Simama, litasimama
Ninapenda milele
Ninapenda milele
Ninapenda milele eeh

Watch Video

About Neno

Album : Neno (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 17 , 2020

More FENNY KERUBO Lyrics

FENNY KERUBO
FENNY KERUBO
FENNY KERUBO
FENNY KERUBO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl