ENOCK BELLA CCM Magufuli cover image

CCM Magufuli Lyrics

CCM Magufuli Lyrics by ENOCK BELLA


Magufuli baba la wana
Simama wakuone
Wala utabasamu tu
Ye kamoyo kanatusakama
Ka ugonjwa wapone 
Imani simama kwako tu

CCM chama chameremeta
Wapinzani hoi kabisa
Washindwa furukuta aai

Yaani bila kusita
Kura yangu umepata
Sibabaiki kabisa
Tena wataisoma namba

Magu umekiwasha (Pilipili pilipili)
Wanaumia aah, yoyo (Kwelikweli kwelikweli)
Baba  umekiwasha (Pilipili pilipili)
Mpaka hali hawana tena ooh (Kwelikweli kwelikweli)

Kwako neno sina (Unavyong'aa)
Wanapata homa (Unavyong'aa)
Hoi kwao (Unavyong'aa)
Aiyoiyo (Unavyong'aa)

Aah eeh (Unavyong'aa)
Wanapata homa (Unavyong'aa)
Hoi wao (Unavyong'aa)
Aiyoiyo (Unavyong'aa)

Baba nchi mmeijenga
We Tanzania tunafurahi
Miundo mbinu yenye ubora
Si masihara tunaienjoy

Maendeleo kwa kila kata
Elimu afya havisumbui
Zisiwe mbio za kijiti
Wakatupora maadui

CCM chama chameremeta
Wapinzani hoi kabisa
Washindwa furukuta aai

Yaani bila kusita
Kura yangu umepata
Sibabaiki kabisa
Tena wataisoma namba

Magu umekiwasha (Pilipili pilipili)
Wanaumia aah, yoyo (Kwelikweli kwelikweli)
Baba umekiwasha (Pilipili pilipili)
Mpaka hali hawana tena ooh (Kwelikweli kwelikweli)

Kwako neno sina (Unavyong'aa)
Wanapata homa (Unavyong'aa)
Hoi kwao (Unavyong'aa)
Aiyoiyo (Unavyong'aa)

Aah eeh (Unavyong'aa)
Wanapata homa (Unavyong'aa)
Hoi wao (Unavyong'aa)
Aiyoiyo (Unavyong'aa)

Magufuli, baba piga kazi
Mama Samia Suluhu Hassan, piga kazi
Oooi ooh, Majaliwa piga kazi
RC Makonda, eeh baba piga kazi

Mashiruali ooh piga kazi
Tanzania ya leo, Tanzania ya wachapa kazi
CCM hoyee, CCM hoyee
Mapinduzi daima, leo CCM hoyee

Watch Video

About CCM Magufuli

Album : CCM Magufuli (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 12 , 2020

More ENOCK BELLA Lyrics

ENOCK BELLA
ENOCK BELLA
ENOCK BELLA
ENOCK BELLA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl