ENOCK BELLA Afande Nisamehe cover image

Afande Nisamehe Lyrics

Afande Nisamehe Lyrics by ENOCK BELLA


Weka na pindua kifua nione mapera (Mapera)
Leta sasa napiga kidogo nikupe mahela (Mahela)
Weka na pindua kifua nione mapera (Mapera)
Leta sasa napiga kidogo nikupe mahela (Mahela)

Sikujua anakujam anavuja
Eti nami nikapiga, sikumsamehe
Viwanja vyote navuruga
Vya wazungu na waruka ruka
Tena natimba na buga mtu anisamehe

Mmenikuta na shamba la bangi
Mi nilijua majani
Mnaniita mi kitangi, afande nisamehe
Mara oh mzurururaji, wakati nasaka ulaji
Kisheria mkiukaji, sila nitetee

Afande nisamehe, Afande nisamehe
Afande nisamehe, Afande nisamehe

Weka na pindua kifua nione mapera (Mapera)
Leta sasa napiga kidogo nikupe mahela (Mahela)
Weka na pindua kifua nione mapera (Mapera)
Leta sasa napiga kidogo nikupe mahela (Mahela)

Daladala mi ziba nafasi
Nakwenda job niko race 
Kwenye road ya mwendokasi
Afande nisamehe

Hebu acha nifike upesi
Kibarua kisiote nyasi
Maana nisipojiongeza 
Boss hatanisamehe

Nimenyweshwa pia nimelewa
Siwezi hata kutembea
Hapa hapa mi najinyea
Meneja nisamehe

Stori kubwa mtandaoni
Paula kutoka na Vanny
Wakifika mahakamani
Hakimu wasamehe 

Afande nisamehe, Afande nisamehe
Afande nisamehe, Afande nisamehe

Weka na pindua kifua nione mapera (Mapera)
Leta sasa napiga kidogo nikupe mahela (Mahela)
Weka na pindua kifua nione mapera (Mapera)
Leta sasa napiga kidogo nikupe mahela (Mahela)

Watch Video

About Afande Nisamehe

Album : Afande Nisamehe (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 12 , 2021

More ENOCK BELLA Lyrics

ENOCK BELLA
ENOCK BELLA
ENOCK BELLA
ENOCK BELLA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl