Unachezaje Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


Mfukoni nina kiti (mati)
Mkononi kai (mati)
Naskia kuna kiki (wapi)
Nije kujimwaga (kati)
Oooh haitoshi, kalitaka simba la baba kaletewa
Oooh my gosh, sasa kazima anataka kubebewa
Oooh haitoshi, kalitaka simba la baba kaletewa
Oooh my gosh, sasa kazima anataka kubebewa
Nionyeshe unachezaje, unachezaje unachezaje
Kwani unachezaje, unashezaje unachezaje
Nionyeshe unachezaje, unachezaje unachezaje
Kwani unachezaje, unashezaje unachezaje

Ilikuwa mbilil 4 4, pale pale (pale pale)
Dawa ya show show show
Nahisi ndale (nahisi ndale)
Peleka vuta, taratibu songa pupa
Dereva shusha hapo mbele kwenye kuta
Huu ni mti gani (wa mchongaoma)
Ukiukata (haukatiki)
Sisi ni mti gani (wa mchongoma)
Wakitukata (hatukatiki)
Sasa waonyeshe unachezaje, unachezaje unachezaje
Kwani unachezaje, unashezaje unachezaje
Nionyeshe unachezaje, unachezaje unachezaje
Kwani unachezaje, unashezaje unachezaje

Po po li po li po po po po po po la
Po po li po li po po po po po po la
Po po li po li po po po po po po la
Waambie chombo (kinapepea)
Eeh chombo (kinapepea)
Huwaga chombo (kinapepea)
Kile chombo (kinapepea)
Aaah weeh
Acha
Aah weeh

Huo mnazi (unakatika)
Mnazi (unakatika)
Mama mnazi (unakatika)
Ona mnazi (unakatika)
Ukitaka kukatika (hukatika)
Kati kati (kati kah)
Huo mjumba (unabomoka)
Mjumba (unabomoka)
Mama mjumba (unabomoka)
Ona mjumba (unabomoka)
Ukitaka kubomoka (hubomoka)
Bobo bobo bobo boh

Watch Video

About Unachezaje

Album : Unachezaje (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Dec 15 , 2021

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl