Kwa Jana Lyrics by RONZE


Gari lipo mafuta full sa tuende wapi?
Kule kule kwa jana 
Mnaniomba lifti nikupeleke wapi?
Kule kule kwa jana 

Sasa mbona nayumba nilikunywa wapi?
Kule kule kwa jana 
Pembeni nina bonge ya pisi imetoka wapi?
Kule kule kwa jana 

Eti unanipitisha mbona kuna matope
Mfukoni una pesa eti oh ni utoke
Hata nikiwa kwa kulala 
Si nina mikambi popote
Iwe basikeli hata mguu 
Mi nataka tu utoke

Sa mbona unayumba Dj, sijalewa
Tunaomba ngoma utuekee ah ah sijalewa
Inakuvuka au kata K, sijalewa
Unajikuta ushapanda bei, ah ah sijalewa

Kule kule kwa jana 
Kule kule kwa jana 
Kule kule kwa jana 
Kule kule kwa jana 

Pati we papati, leo ghetto kuna party
Wametupikia chapati na mchuzi kaimati
Pati we papati, tusivutane mashati
Ingia ucheze katikati, kuna huku leo wapi

Hata nikicheza nibambie shemu, mbona pambe
Na ikiniweza nimpatie game, yaani pambe
Eti mimba ya Uchebe tumpee majani, mbona pambe
Yaani kaniganda vile kile sehemu, yaani pambe

Sa mbona unayumba Dj, sijalewa
Tunaomba ngoma utuekee ah ah sijalewa
Inakuvuka au kata K, sijalewa
Unajikuta ushapanda bei, ah ah sijalewa

Kule kule kwa jana 
Kule kule kwa jana 
Kule kule kwa jana 
Kule kule kwa jana 

Waboba waboba, wanatuekea kikati
Tuzunguke kushoto, tuzunguke kulia
Wa wa wahuku, wa wa wa kule 
Wa wa wahuku, wa wa wa kule 

Watch Video

About Kwa Jana

Album : Kwa Jana (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 14 , 2021

More RONZE Lyrics

RONZE
RONZE
RONZE
RONZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl