Toka Mwanzo Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


Mama kwanza nilipokwona na
Ulisema ati just a friend now
Wala kwanza huna mpango naye
Alitaka tu mkaspend a ride

Na na ukamkatalia, ukamkimbia
Baki anaumia na eti analia 
Tena kwa hisia 
Ati kisa kuwa na we

Maneno mengi kunidanganya
Nikiwa sipo kumbe mnafanya
Nimeshow love tena kwa sana
Nitakosea nikikuita player

Sitokosea nikikuita player mbona we
(Come on, come on, come on)

Sasa si wala we ungesema toka mwanzo
Kama sipo hata kwenye yako mawazo
Kisa nini ya mapenzi alizo nazo
Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye hizo zimekuvutia 
Hizo ambazo zimekuvutia wewe
Kwenye hizo zimekuvutia 
Zimekuvutia

Ati bora ningesema toka mwanzo
Kama upo hata kwenye yako mawazo
Kisa nilie mapendo nilizo nazo
Hizo ambazo zimekuvutia
Hizo zimekuvutia 
Zimekuvutia
Hizo zimekuvutia mimi
Zimekuvutia

Usinizuge kwa makiss kibao
Ati "Diamond nakupenda sana"
Nikiwa sipo unanipiga bao
Kwa mamisemo kwa 
Utadharau namba hii uchechema
Sasa vipi? Vipi? Vipi?
Sasa vipi? Vipi? Vipi? weee

Hamna noma nitaride nao
Bora mtakoma bonge la mshangao
Aya wewe sawa

Maneno kibao coz unipenda alrigt
Na naomba mshangao zaidi ya kima alright
Unasema hutaki niona na yeye
He is just a friend baby naomba nielewe

Ni wangapi nimeponda nao
Wala kwanza sina mpango nao
Ukiniona nao unasema maboy
Sasa nitakuwa na wangapi
Wangapi mimi?

Sasa si wala we ungesema toka mwanzo
Kama sipo hata kwenye yako mawazo
Kisa nini ya mapenzi alizo nazo
Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye hizo zimekuvutia 
Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye hizo zimekuvutia wewe
Zimekuvutia

Ati bora ningesema toka mwanzo
Kama upo hata kwenye yako mawazo
Kisa nilie mapendo nilizo nazo
Hizo ambazo zimekuvutia
Hizo zimekuvutia 
Zimekuvutia
Hizo zimekuvutia mimi
Zimekuvutia

[Romy Jones]
Baby girl najua unanipenda
But sometime kwanini unenitenda
Unaniumiza roho sifuati ya hao

Nachill nafeel nahisi sina deal
Na kama unakuja njoo tena for real ma
Nakuja natoka nakuacha nacheka
Ukiniona unadeka na kumbe nikiondoka unateta

Baby I never want you go go
Like crazy, nabaki sema no no

Watch Video

About Toka Mwanzo

Album : Toka Mwanzo (Single)
Release Year : 2010
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 11 , 2020

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl