CHEGE Waisome cover image

Waisome Lyrics

Waisome Lyrics by CHEGE


Watanzania leo tunafaidi, ah lalalala
Spidi ya Magufuli sio baridi, lalalala
Anatimiza yote aloahidi, lalalala
Kurudi ikulu tena haina budi, lalalala

Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome

Umedhibitisha umma 
Magu ndo Rais anayetufaa
Tunaamini sera zake
Na wale walioko chini yake

Mama Samia, Majaliwa
Jepu vigogo tunaishi nao sawa tu
Spika Dugai, Jaji mkuu 
Awamu ya tano mko lit naona kazi tuu

Baba sisi tunashukuru wala hatutolalama
Aaaah- aaah --aaah
Hatutaki kufuru taifa liende salama
Aaaah- aaah --aaah

Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome

Magufuli mbele kwa mbele
Taifa lisonge
Makonda mbele kwa mbele
Dar isonge

Mwakembe mbele kwa mbele
Michezo lisonge
Kigogwa la mbele kwa mbele
Gari lisonge

Wafanyi wa biashara
Machinga Kariakor
Sasa wako huru 
Hakuna kukabwa koo

Walipa kodi za majengo
Walipa kodi za biashara
Walipa kodi za maduka
Hakuna foleni

Baba sisi tunashukuru wala hatutolalama
Aaaah- aaah --aaah
Hatutaki kufuru taifa liende salama
Aaaah- aaah --aaah

Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome

Watanzania leo tunafaidi, ah lalalala
Spidi ya Magufuli sio baridi, lalalala
Anatimiza yote aloahidi, lalalala
Kurudi ikulu tena haina budi, lalalala

Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome
Wacha waisome, waisome namba
Wacha waisome

Watch Video

About Waisome

Album : Waisome (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 11 , 2019

More CHEGE Lyrics

CHEGE
CHEGE
CHEGE
CHEGE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl