B2K MNYAMA Wewe Tu cover image

Wewe Tu Lyrics

Wewe Tu Lyrics by B2K MNYAMA


Tujihadhari beiby
Ukijua umependwa wewe mpweke wewe
Tumia nafasi beiby
Ukijua umependwa nawe upende

Kwa style hii
Utamjuaje mpenzi anayekupenda wewe
Tumia nafasi hii beiby
Ujifunze kupendwa, utaishi mwenyewe

Unapenda sana kununa 
Utaenda saa ngapi?
Na nikirudi salamu hakuna
Tunapendwa wangapi?

Nakupenda wewe tu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Nifanyie nafuu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Nakupenda wewe tu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Nifanyie nafuu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Kuna siku nilichelewa kuruta
Hujui nilikuwa wapi, aah we sema
Hujui nilikufanyia kusudi 
Ina maana dhamani yangu huioni

Una shida nami kwani?
Mbona sielewi mami
Wakunieleza ni mi mami
Nijue unawaza ni?

Unapenda sana kununa 
Utaenda saa ngapi?
Na nikirudi salamu hakuna
Tunapendwa wangapi?

Nakupenda wewe tu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Nifanyie nafuu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Nakupenda wewe tu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Nifanyie nafuu
Mama mama eeh
Mama mama eeh
Mama mama eeh

Mama naona naona
Mapenzi maji ya moto yananichoma
Mama mama, (Mama mama eeh....)
Roho inaniuma niuma 
Hata nisipofanya kosa wewe una nuna
Mama mama, (Mama mama eeh....)

Watch Video

About Wewe Tu

Album : Wewe Tu (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 17 , 2019

More B2K MNYAMA Lyrics

B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl