B2K MNYAMA Nauliza cover image

Nauliza Lyrics

Nauliza Lyrics by B2K MNYAMA


Ok haukua wangu sa kwanini ulitaka nikupende
Nimekuja na mboga yangu umeacha kisu umeikata na wembe
Au tatizo kabila mi mnyalu sitakiwi nipendwe
Yaani umekua rojo rojo we wa wote kila mtu alambe
Basi kama fungu na mi nipe lakwangu uonje uko uje ulale kwangu
We pembua pembua ibaki nafasi yangu kwao pima we ni fungu langu
We kama huwezi nimpende nani aah
Je mapenzi hayana thamani aah
Na kama huwezi nambie hatuendani aah

Au ndo hunitaki (nauliza)
Hunipendi hata robo (nauliza)
Sa nintakwenda wapi (nauliza)
Hunitaki hata robo (nauliza)
Au ndo hunitaki (nauliza)
Hunipendi hata robo (nauliza)
Sa nintakwenda wapi (nauliza)
Hunitaki hata robo (nauliza)

Naandika meseji nafuta we kwako iko poa
Kila kitu ninacho kuuliza unanijoboa
Yaani kama ulijua mi nitajuta unavo nizodoa wewe
Huna shukurani umekua punda unanipiga mateke mwenyewe
Nakupa salamu una mute unasema nakupa yanini
Kumbuka mapenzi sio vita haujui nimekupendea nini
Tukimalizaga show we unanisifu ndo vitu nakupendea mimi
Kumbuka mi kuku wa kisasa figisi unaletea za nini
We kama huwezi nimpende nani aah
Je mapenzi hayana thamani aah
Na kama huwezi nambie hatuendani aah

Au ndo hunitaki (nauliza)
Hunipendi hata robo (nauliza)
Sa nintakwenda wapi (nauliza)
Hunitaki hata robo (nauliza)
Au ndo hunitaki (nauliza)
Hunipendi hata robo (nauliza)
Sa nintakwenda wapi (nauliza)
Hunitaki hata robo (nauliza)

Watch Video

About Nauliza

Album : Nauliza (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Jul 29 , 2022

More B2K MNYAMA Lyrics

B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl