Sawa Lyrics by B2K MNYAMA


Moyo ukaugeuza uguo uka chana chana
Kwenye hasi mwenzangu ukaweka chanya
Dereva ulipita kituo abiria sina maana
Ukaweka wivu ambapo hapana maana
Nilitaka vitenge kwa uwoya nikajitutumua
Na vinono ningepetaje hali yangu si unaijua
Kila nilichotuma ulitaka ya kutolea nikazingatia
Bila kujali napataje ili ufurahi dear
Na sikuhitaji fadhila lengo tutunze penzi letu tuenjoy mi na we
Ukaniona tahira kwenye miba tukaenda peku limbe naumia mwenyewe
Vinavyo tokea nilivyo tabiri cha ajabu jua limezama saa mbili
Nikajua nimepata wa kunisitiri kumbe niliempata anachezea mwili

Haya sawa
Haya sawa
Haya sawa
Haya sawa

Aah, najua ya leo sio ya janaa
Japo sasa angalau kabariki maulana
Nilikupandisha cheo ukanishusha bwana
Madanga yakapadna dau nikawa sina maana
Walituita mapacha tusiofanana nikakuimbia na kawimbo tunaendana
Kupalilia penzi nikangangana japo wenye wivu wengi walitutukana
Ulitakata mi sikutakata
Tuko njia moja twaongozana
Nilichojua mapenzi kupendana
Sikuhitaji fadhila lengo tutunze penzi letu tuenjoy mi na we
Ukaniona tahira kwenye miba tukaenda peku limbe naumia mwenyewe
Vinavyo tokea nilivyo tabiri cha ajabu jua limezama saa mbili
Nikajua nimepata wa kunisitiri kumbe niliempata anachezea mwili

Haya sawa
Haya sawa
Haya sawa
Haya sawa
Haya sawa
Haya sawa
Haya sawa
Haya sawa

Watch Video

About Sawa

Album : Sawa (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Jul 26 , 2022

More B2K MNYAMA Lyrics

B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl