Nana Lyrics by DARASSA


Nana nana nanananana
Nana nana nanananana

Ukikata mti tunapanda mti
Sina size ya kuvaa sipimiki
Nikiwasha mziki wangu mtiti
Fiti kali kiti beat mikiki mikiki

Hii tabia, tabia tunakomesha
Maisha ya kuchukia watu unajitesa
Mwanamke hapendi stress, mpe presha
Anataka mwanaume anasaka pesa

Kizuri kinajiuzaga promotion
Nadhani hawajakujuaga, waonyeshe
Doado mwendo wa ngamia slowmotion
Shughuli nasimamia kwa my tension

Waliosema hatufiki wanajiuliza vipi?
Macho kodoa kodoa
Sijawekewa ngazi sijabebwa kwa lifti
Nimetoboa toboa

Waliosema hatufiki wanajiuliza vipi?
Macho kodoa kodoa
Sijawekewa ngazi sijabebwa kwa lifti
Nimetoboa toboa

Kama kusubiri tumesubiria sana
Imeshakuwa long time eeh
Mvumilivu tumevumilia sana
Imeshakuwa long time eeh

Kama kusubiri tumesubiria sana
Imeshakuwa long time eeh
Mvumilivu tumevumilia sana
Imeshakuwa long time eeh

Nana nana nanananana
Nana nana nanananana

Na baby girl you gon kill somebody
Juu chini move shake for your daddie
Fanya kama vile unatafuta mtaji
Uzuri wa nyumba choo ndo inavutia wapangaji

Mwanaume wa kazi nishashiba ugali
Mwanaume wa mzazi na kisu kikali
Chinja chinja shusha mizigo kama bandari
Winja winja kimbiza mtu kwa daktari

Usinipe kitanda sitaki huwaga silali
Nionyeshe kitanda wapi nataka kuparty
Mtu hatari, mtu hodari, mtu mgangari
Mtu hee kanyaga uone msumari

Dede dede simama tembea
Tete tete mtoto kaongea
Bebe bebe ukitaka bembea
Naifunga kazi nimeisomea

Mwagika mwagika mwagika mwaa
Katika katika katika kaaa
Aiyayayayayaya..

Waliosema hatufiki wanajiuliza vipi?
Macho kodoa kodoa
Sijawekewa ngazi sijabebwa kwa lifti
Nimetoboa toboa

Waliosema hatufiki wanajiuliza vipi?
Macho kodoa kodoa
Sijawekewa ngazi sijabebwa kwa lifti
Nimetoboa toboa

Kama kusubiri tumesubiria sana
Imeshakuwa long time eeh
Mvumilivu tumevumilia sana
Imeshakuwa long time eeh

Kama kusubiri tumesubiria sana
Imeshakuwa long time eeh
Mvumilivu tumevumilia sana
Imeshakuwa long time eeh

Nana nana nanananana
Nana nana nanananana
Nana nana nanananana
Nana nana nanananana

Watch Video

About Nana

Album : Slave Become a King (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 CMG
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 24 , 2020

More lyrics from Slave Becomes A King album

More DARASSA Lyrics

DARASSA
DARASSA
DARASSA
Leo
DARASSA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl