BREEDER LW Chuma Ilale Ndani cover image

Chuma Ilale Ndani Lyrics

Chuma Ilale Ndani Lyrics by BREEDER LW


Yeah, eey, eey
Wacha chuma ilale ndani
Breeder, Boondocks Gang eey

Ukishindwa kuwinda, subiri mzoga

Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani

Kijana hatari mi silalangi kwa kazi
Na stamina mi ninayo ka ya jini
Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani

Wacha wacha chuma ilale ndani
Nateka ngeus wa Getho ama Wendani
Chapa ilale we lalisha huko ndani
Tangu uhururens siku hizi mamkoba ni wengi
Tangu when siku hizi mambleina ni wengi
Tangu lolo siku hizi wamlambez ni wengi
Tesa jo hiyo turi kishenzi

Hadai lolo yeye anataka chuchu
Hadai kudarwa yeye anataka munju
Free Bunton yeye anataka Buju
Penda yeye kwa sana majuju
Ilie ndani mangeus madudu

Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani

Romour has it ati Breeder hupenda nginyo
Design ya radi nikichapa si ni kifo
Na mi hodari, me huichapaga na finyo
Na hapa Nai si madem we hupendaga fimbo

Na kwanza ngoja, amefika kejani
Mtoto si ana tako utadhani amebeba meli aah
Nampiga lugha si unajua yaani ngeli
Punde sio punde tusharuka kwenye bedi aah

Ooh Lord, ooh Jesus, oooh Breeder
Mi huitwa Zaddy saa zile nashughulika aah
Mi huanga rapper na leo nimebadilisha
Naleta vibes Old skul ka za Issa
Na magizani ndio bado me huzama Diva
So if am on it na promise naleta fever
Hii key shingoni am sorry hii key huumiza
Narudi tena na tena sitakuficha

Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani

Nikiitiwa ikus me hukam ngware 
Nimejipin makondiko staki jakadale
Na si za Gava aki walai nimetoboka mware
Wamnyonyez we inama wacha mohahe
Kam na mabeshte, kutu ka hii inataka six sum
Si kimapepe me si nice ukinishika
Leta kamenje nirecord nieke Insta
Kadem karembo nimekamanga stori kwisha

Ilale ndani hatare na  haitambui giza
Ukae rada kama peddy chuma itatapika
Ujuzi mwingi nina ngwati kama GB sita
Noma nyeusi ashatii na akawika tiga

Mtoto alilia wembe sai anataka chuma
Inawasha hadi anajikuna
Nimhepeshe kejani magizani
Achachishe watii majirani
Hakuna haja ya ubani me sidhani
Niko boost nina tools na majani
Ni uduu mkilalisha ni utani
Nichome tire nisafishe na ubani

Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani

Kijana hatari mi silalangi kwa kazi
Na stamina mi ninayo ka ya jini
Wacha wacha chuma ilale ndani
Wacha wacha chuma ilale ndani

Watch Video

About Chuma Ilale Ndani

Album : Chuma Ilale Ndani (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 TK
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 13 , 2019

More BREEDER LW Lyrics

BREEDER LW
BREEDER LW
BREEDER LW
BREEDER LW

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl