Soul Lyrics by BOUTROSS


Yoh can you pass me the lighter okay
Oh I got it I got it yeah yeah aye

Shida ni sinanga patience 
Na shawty anapendanga attention 
Vile hii vibe Ina tension 
Relation ilianza na erection 
Haoni vile bouti anaroll na Mary ako kwa rotation 
Haoni vile bouti anakaa na anacheza na  mangeus 
Anacheza na ngeus wana mbesha 

Tena huyo plug alitemwa 
Kafanya maboy wakatokewa
Lakini alikosa mtu wangu ata 
Kama alikuja kwa keja ndenga 
Hawa mangeus ndio network 
Vile wanatrap from keja to keja
Watu hushinda wakiniuliza 
Bouti mbona we huogopanga hao mandenga

Nani hukaanga na less 
Nani hukuaga na secrets za bobby na tally na beth 
Nani hutoka kwa cell after first call ya arrest? 
Buda ule ngeus nilikuwa napiga kumbe sponsor OCS 

Ngeus alitry kuhepa kumbe boss alimtrace 
Maboy wako nao wa malocks wako stocked na hawako tensed 
ngeus asharombosa ashasoma ashatext
Ati walimchocha ati ngeus ako blessed mi nishawasoma

Ju Stori huanza na kitu safi 
Kwanza mlipatana pizza inn 
Mdomo inatoa tu mavi madam 
itabidi ucheze na Listerine 
Ju stori huanzaga na kitu safi 
Mpaka ujipate umegenya please 
Buda hizo stori ni gani kuwa rada
Ukibonga mbele ya ndenga please

Shida ni sinanga patience 
Na shawty anapendanga attention 
Vile hii vibe Ina tension 
Relation ilianza na erection 
Haoni vile bouti anaroll na Mary ako kwa rotation 
Haoni vile bouti anakaa na anacheza na  mangeus 
Anacheza na ngeus wana mbesha 

Tena huyo plug alitemwa 
Kafanya maboy wakatokewa
Lakini alikosa mtu wangu ata 
Kama alikuja kwa keja ndenga 
Hawa mangeus ndio network 
Vile wanatrap from keja to keja
Watu hushinda wakiniuliza 
Bouti mbona we huogopanga hao mandenga

Don’t answer the phone (Don’t answer)
Someone telling on you ,whos got the control?
They selling they souls, your sales running low 
You jumped overboard, Im fresh off a boat
Its not what you know, its who you know

Who do you owe? They collecting the toll, 
They watching you move, lil homie got scooped
They run up in the stu, its cold outside
Niggas switching sides, you could get vooshed

Ukitokwa na guy look him in the eye 
And set him for you (Set him for you)
Trust nobody but the feds and the  stacks
Play with me imma  get you’re ass back
Getting my money and banging  that shrap

Shida ni sinanga patience 
Na shawty anapendanga attention 
Vile hii vibe Ina tension 
Relation ilianza na erection 
Haoni vile bouti anaroll na Mary ako kwa rotation 
Haoni vile bouti anakaa na anacheza na  mangeus 
Anacheza na ngeus wana mbesha 

Tena huyo plug alitemwa 
Kafanya maboy wakatokewa
Lakini alikosa mtu wangu ata 
Kama alikuja kwa keja ndenga 
Hawa mangeus ndio network 
Vile wanatrap from keja to keja
Watu hushinda wakiniuliza 
Bouti mbona we huogopanga hao mandenga

Watch Video

About Soul

Album : Soul (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 AD Family.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 10 , 2020

More BOUTROSS Lyrics

BOUTROSS
BOUTROSS
BOUTROSS
BOUTROSS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl