Anajua Lyrics by BENACHI


Anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako
Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako

Roho inadunda dunda (Dunda)
Na tena machozi yanakutoka
Mungu anaplan na wewe 
Usiwe na hofu wewe

Alikokutoa ni mbali 
Unakoenda ni mbali
Jifunze kuwa na imani
Mmmh kuwa na imani

Subiri subiria kwa imani
Hautodumu kwenye hii hali
Ahadi zake hazitumiki milele
Kwenye hali zote Mungu yupo nawe
Ahadi zake hazitumiki milele
Milele eh, milele eh, aah

Anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako
Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako

Ona mama analia watoto wanalia
Hata ndani ya nyumba yako umeshindwa kutulia
Vumilia Mungu anakushughulia
One time inna dis time wote watashangilia

Ona Sarah alilia sana ii
Na mwishowe akapata mwana ayayaya..
Mungu amesikia ombi lako amesikia 
Mungu amesikia ombi lako amesikia 

Anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako
Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako

Anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako
Adonai, anajua yaliyo moyoni mwako
Elshaddai, na tena anafuta machozi yako

Watch Video

About Anajua

Album : Anajua (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 04 , 2021

More BENACHI Lyrics

Aje
BENACHI
BENACHI
BENACHI
BENACHI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl