BAHATI Nakupa Moyo cover image

Nakupa Moyo Lyrics

Nakupa Moyo Lyrics by BAHATI


Ulikonitoa ni mbali
Kwenye panda shuka za maisha
Kwenye mvua na jua kali
Kivulini ukaniweka

Kwenye juhudi za kutafuta shillingi
Hukuninyima
Tena kwa taabu nikitafuta riziki
Ukaniinua Baba

Nyingi mondo omii duong’
Yesu ruodha, an apaki pile
In e ohingana e osimbona
An apaki pile ruodha

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Chukua moyo yesu wangu

Aah nipigwe na mawimbi, aaah
Umenilinda siamini
Lako sandere mangalee Zanderema yoo
Ogondo zandage mangeze Olaniwan

Umenifinyanga siamini
Yesu wangu
Umenibeb angani mimi

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo

Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Chukua moyo Yesu wangu

Watch Video

About Nakupa Moyo

Album : Nakupa Moyo (Album)
Release Year : 2020
Copyright : © 2020 EMB Entertainment
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 26 , 2020

More BAHATI Lyrics

BAHATI
BAHATI
BAHATI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl