BAHATI Diana cover image

Diana Lyrics

Diana Lyrics by BAHATI


EMB Record

Niko vitani na moyo baby
Zaidi ya yote kumbuka jana
Unasonga, mi nasonga
Moyo unakataa. Ah!
Kinachonitia wasi wasi
Ni cha kuwaambia kanisani
Na sijafeli
Nina imani moyoni

Ulivyobeba virago vyako
Kanisahau mie
Na ukambeba mwanangu
Amwite nani dady

Diana (Diana)
Diana (Diana, Diana)
Wangu Diana (Diana, Diana)
Nisikize Diana (Diana, Diana)

Ina maana huoni uchungu napitiaa
Naikimbia shida nilikotoka unajuaa
Naogopa, naogopa
Hunnie naogopa
Ninavyo umia bidii kwa kazi
Mbona unaondoka
Nakupenda sana
Nishawaambia mashabiki na baba
Akulinde sana
Baado nakusubire

Ulivyobeba virago vyako
Kanisahau mie
Na ukambeba mwanangu
Amwite nani dady
Diana (Diana)
Diana (Diana)
Wangu Diana (Diana)
Nisikize Diana (Diana, Diana)

Ina maana huoni uchungu napitiaa
Naikimbia shida nilikotoka unajuaa

Diana (Diana)
Diana (Diana)
Diana, Diana...
Diana, Diana...
Shallzbaro
Ulivyobeba virago vyako
Kanisahau mie
Naukambeba mwanangu
Amwite nani dady

 

Watch Video

About Diana

Album : Diana (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Sep 19 , 2018

More BAHATI Lyrics

BAHATI
BAHATI
BAHATI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl