B2K MNYAMA Uhakika cover image

Uhakika Lyrics

Uhakika Lyrics by B2K MNYAMA



Sijakosea, hii ndio picha yako 
Navuta taswira insta post zakogo
Unakumbuka Jenny text zako 
Ulivyonijoboaga

Unanitext ukiwa na shida zako
Ambao unaombaga haya 
Halafu unaona simple tu
Umegundua sijafika huko, unanionea

Bora niwe muwazi 
Naonaga majibu yako
Yanakatisha tamaa

Najaribu kufikisha 
Ukweli wa dhamira yangu
Unabullshit mamaa

Halafu unadai 
Vile vitu ambavyo sina
Mie kupata natamani

Eti nikupe wewe
Wazazi wanateseka 
Walonileta duniani

Bora niwe mshamba wa mapenzi
Niwafurahishe wazazi nyumbani
Nitaishi kwa namba ila tambua we na mi
Urafiki wetu wa ukubwani

Mwenzako nimefikaa
Umenipokea unanipa na kazi malipo siyaoni
Nataka uhakika
Umenisajili kwa show time au ndo siku zote

Mwenzako nimefikaa
Umenipokea unanipa na kazi malipo siyaoni
Nataka uhakika
Umenisajili kwa show time au ndo siku zote wewe

Najua maisha yako yana furaha tupu
Najua kosa lako huombi msamaha
Naona siku zote we uko bored
Au maisha yako hayataki furaha

Kama kuna njia, ya kukufanya 
Wewe unipende sana
Ilaa una nia, ya kunifanya 
Mimi niwe mnyonge

Si nasikia mapenzi ya selo leo
Lakini ni mateseo niumie
Wala hii skendo ya kuitwa mama lio
Atanielewa na kesho nitulie

Bora niwe mshamba wa mapenzi 
Niwafurahishe wazazi nyumbani
Nitaishi kwa namba ila tambua we na mi
Urafiki wetu wa ukubwani

Mwenzako nimefikaa
Umenipokea unanipa na kazi malipo siyaoni
Nataka uhakika
Umenisajili kwa show time au ndo siku zote

Mwenzako nimefikaa
Umenipokea unanipa na kazi malipo siyaoni
Nataka uhakika
Umenisajili kwa show time au ndo siku zote wewe

Watch Video

About Uhakika

Album : Uhakika (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 03 , 2019

More B2K MNYAMA Lyrics

B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl