B2K MNYAMA Kabla Hatuja Achana cover image

Kabla Hatuja Achana Lyrics

Kabla Hatuja Achana Lyrics by B2K MNYAMA


Alinipa sifa zote kwa kunisevu baby nikamuita sweet
Eti mi chaguo lake amewaacha wengi kwangu hafurukuti
Basi kasauti kake ananibembeleza naongea kila kitu
Akili na moyo wake vitakua upande wangu kila siku
Na anapata raha mustarehe akiwa na mimi tunacheza cheza ah ah ah
Yaani hawaamini ninavyo muweza
Basi akawasha udi akafanya maombi
Si tuzidi kupendana
Na akanisihi nisiwe na wengi
Ili tuepushe kutengana

Alinisifu vingi na leo ananikandia (kabla hatuja achana)
Na niliyaharibu mengi akaja kunitetea (kabla hatuja achana)
Alinisifu vingi na leo ananikandia (kabla hatuja achana)
Na niliyaharibu mengi akaja kunitetea (kabla hatuja achana)

Basi kuna siku nilimtania shemeji akanuna
Akasema ye hapendi dharau nisije kumtafuna
Eti bora nimsifu yeye alivojazia kule nyuma
Na bora ningemsifu angalau afute kosa la nyuma
Anapenda nimdekeze tucheze cheze rede
Alitaka kila siku awe mshindi yeye
Basi alinikalipia nikichelewa kurudi nyumbani
Na nimpe sababu nilikokua nilikua na nani
Basi akawasha udi akafanya maombi
Si tuzidi kupendana
Na akanisihi nisiwe na wengi
Ili tuepushe kutengana

Alinisifu vingi na leo ananikandia (kabla hatuja achana)
Na niliyaharibu mengi akaja kunitetea (kabla hatuja achana)
Alinisifu vingi na leo ananikandia (kabla hatuja achana)
Na niliyaharibu mengi akaja kunitetea (kabla hatuja achana)

Watch Video

About Kabla Hatuja Achana

Album : Kabla Hatuja Achana (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Jul 01 , 2022

More B2K MNYAMA Lyrics

B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl