AMBER LULU Yanamiminika cover image

Yanamiminika Lyrics

Yanamiminika Lyrics by AMBER LULU


[AMBER LULU]

Ukausokota (moyo)
Ukanivuruga (we kivuruge)
Ukausokota (kolo)
Kwa shuru baba P

Ukanichambua kama kalanga
Ukalivalia kibwebwe vanga
Ukakitupia shimoni chanda
Sikuwa na rahaa kutengana nawe
Hata nikitabasamu machozi

[CHORUS]
Yanamiminika eh
Yanamiminika
Yanamiminika eh
Yanamiminika
Yanamiminika eh

[MARIOO]
Ilikua ni ndoto bado
Kwengine sina Kuniona (na na na)
Na nitakukadidhi  moyo (yo yo yo)
Basi tulishaanza fanana (fa na na)
Umeniacha dolo (do lo lo)
Kule kutapa tapa kama mfaa maji
Baridi inakuja inanichoma
We huna huruma  ndo kwanza uko singida dodoma
Mateso hujuma kweli napenda ila nakoma
Ukanipa na janga la moyo
Hata nikitabasamu machozi

[CHORUS]
Yanamiminika eh
Yanamiminika
Yanamiminika eh
Yanamiminika
Yanamiminika eh

[Amber Lulu]
Ukanichambua kana kalanga
Ukalivalia kibwebwe vanga
Ukakitupia shimoni chanda
Sikuwa na rahaa
Kutengana nawe
Hata nikitabasamu machozi

[CHORUS]
Yanamiminika ee
Yanamiminika
Yanamiminika
Yanamiminika
Yanamiminika

 

Watch Video

About Yanamiminika

Album : Yanamiminika (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Sep 14 , 2018

More AMBER LULU Lyrics

AMBER LULU
AMBER LULU
AMBER LULU
AMBER LULU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl