Washa Lyrics by ALIKIBA


Shika moja shika mbili shika now
Shika tatu mengine achana nayo
Kuna wale wapenda habari zao
Hao hao achana nao

Acha wacha now, wacha wacha now
Toa habari zetu kubwa faida yao
Wakileta neno, waambie mwisho wao
Huu ndo mwisho wao, ukumbusho wao

Kwani we ndo Alpha na Omeha wow
Usishindane spidi na baiskeli ya mbao
Walinipa mwanya nikapiga bao
Nishapiga bao, nikashusha bao

Washa moto, washa kitu washa (Washa)
Hater nipe nao mi nataka (Washa)
Hata kama lumboto nishapata (Washa)
Washa nao (Washa) wachape nao (Washa)

Washa moto, washa kitu washa (Washa)
Hater nipe nao mi nataka (Washa)
Hata kama lumboto nishapata (Washa)
Washa nao (Washa) wachape nao (Washa)

Washa moto usiogope
Wanazeeka wengine wakizaliwa
Wakutusema hawaishi na
Hamna yeyote wa kusimamisha majaliwa
Na say majaaliwa yeah yeah

Morale iko juu, pia glass weka juu
Na hii hata si ya sikukuu ni kawaida
Na mission itaisha nikijua 
Nimelisha wajukuu wa wajukuu
Ndio maana nahustle kukushinda
Wakiskia na ball wasiconfuse mimba
Eh nani najua unajiuliza, nani kama huyu ninja

Ni kama nikiongezewa mtama
Wanaongezewa tamaa 
Nimewaonea kwa mbali sana
Naomba msamaha ka nakaa kama sijali

Ni kama nikiongezewa mtama
Wanaongezewa tamaa 
Nimewaonea kwa mbali sana
Naomba msamaha ka nakaa kama sijali

Washa moto, washa kitu washa (Washa)
Hater nipe nao mi nataka (Washa)
Hata kama lumboto nishapata (Washa)
Washa nao (Washa) wachape nao (Washa)

Washa moto, washa kitu washa (Washa)
Hater nipe nao mi nataka (Washa)
Hata kama lumboto nishapata (Washa)
Washa nao (Washa) wachape nao (Washa)

Watch Video

About Washa

Album : Only One King (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Kings Music/ Ziiki Media
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 07 , 2021

More lyrics from Only One King album

More ALIKIBA Lyrics

ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl