Fanya Lyrics by ADRIAN LOCI


Nadai kukachora fiti mi ndio Author hapa, Dayanka Ah
Bingwa hafai kujiprove so hard fanya kitu 
Hizi vitu hazifai kuwa Hard da da wanaifanya 
Ni kama hufai kuwa na kiti waonyeshe kidole usijipe 
Fanya hiyo kitu

Wao hujifanyanya hawafucks na di boy 
Ati ngoma zangu si kali, define hiyo ukali 
Unadhania ntakaa ningoje approval,  wapi
Suck 3 dicks ama door knob sijali
Loci hukuwa asset ka Joe Kadenge akichezea maragoli RIP the Legend
Long as niko kwa hii scene mtanijua na pembe 
Juu hii mlango siibishi ntaivunja brethren Uh 
Ntakuwet,  please beba towel
Egocentric ni mi nikiturnish 
Kazi yenye unafanya na mdomo haziambatani
All along hawa maboys hapa nje wanavanish 
So kazi usinipee mi nitaduu mimi 
Hata hizo shule nilisoma heri life teachings 
Atleast a better man is made out of the goon in me
Nikitaka sihesabiki kwa hizo vitu zenyu
Hiyo ni Upuzi

Nadai kukachora fiti mi ndio Author hapa, Dayanka Ah
Bingwa hafai kujiprove so hard fanya kitu 
Hizi vitu hazifai kuwa Hard da da wanaifanya 
Ni kama hufai kuwa na kiti waonyeshe kidole usijipe 
Fanya hiyo kitu

Ulidhani unatubeba isipokuwa we ndo fala 
Mi siezi kubali mtu akutaje mbele yangu
Buda unajicheza ukijiona mjanja 
Curtain zilipanda bars zikashuka tangu 
Nimechonga nimechonga nikafungua kichinjio ka maji mtungini nikatulia 
Gills zimemea kupindukia niite papa 
Chini ya maji maisha raha 
Fanya kenye hufanya ukijaa ngori skuizi toja zimejaa pori 
My G Toili tunaomoka si story
Im sorry ego ni ya Atwoli G
Story hailiki pesa motisha 
Mi hutupa watu kutoka kwa dirisha uh 
Hii maisha nakula kwa kijiko kubwa nikiteuka tu
Ondiko pass hiyo joint.

Nadai kukachora fiti mi ndio Author hapa, Dayanka Ah
Bingwa hafai kujiprove so hard fanya kitu 
Hizi vitu hazifai kuwa Hard da da wanaifanya 
Ni kama hufai kuwa na kiti waonyeshe kidole usijipe 
Fanya hiyo kitu

Watch Video

About Fanya

Album : Freewill (Album)
Release Year : 2021
Copyright : © 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 20 , 2021

More lyrics from Freewill album

More ADRIAN LOCI Lyrics

ADRIAN LOCI
ADRIAN LOCI
ADRIAN LOCI
ADRIAN LOCI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl