Matisha Lyrics by ZZERO SUFURI


Yeah yeah cheki!

Hii ni ngoma ingine mtaani inaitwa matisha(matisha)
Brand new style inaitwa matisha(matisha)
Ka una kikolo, kinare iko area wakisha(wakisha)
Ibaki ni mamoshi zinatoka hadi na dirisha(dirisha)

Eeeh hii ni ngoma ingine mtaani inaitwa matisha(matisha)
Brand new style inaitwa matisha(matisha)
Ka una kikolo kinare iko area wakisha(wakisha)
Ibaki ni mamoshi zinatoka hadi na dirisha(dirisha)

Eeh, hii ni ngoma ingine mtaani inaitwa matisha(matisha)
Brand new style inaitwa matisha(matisha)
Ka una kikolo kinare iko area wakisha(wakisha)
Ibaki ni mamoshi zinatoka hadi na dirisha(dirisha)

Eeeh, na wakikuuiliza ni nani alikuwa akiziwakisha(wakisha)
Ibaki ni jirani huku kando alikuwa akiziwakisha(wakisha)
Na si amezivuta sana leo ameziwakisha(wakisha)
Jo ni kubaya morio, ngori ni kumatisha eeh

Nikumati ni kumati ni kumatisha(matisha)
Nikumatisha design bila kubahatisha(bahatisha)
Ka una kikolo kinare iko area wakisha(wakisha)
Ibaki ni ma moshi zinatoka hadi na dirisha 

Eeeh, ka umepiga look uko msafi, jo umetumatisha(matisha)
Ka uko na kamutu, ni kazuri na kamematisha(matisha)
Mambo ya kuhanya biriganya bado umematisha
Eeeh, na kangoma kengine kanaitwa matisha(matisha)

Hii ni ngoma ingine mtaani inaitwa matisha(matisha)
Brand new style inaitwa matisha(matisha)
Ka una kikolo kinare iko area wakisha(wakisha)
Ibaki ni mamoshi zinatoka hadi na dirisha eeh(dirisha)

Hii ni ngoma ingine mtaani inaitwa matisha(matisha)
Brand new style inaitwa matisha(matisha)
Ka una kikolo kinare iko area wakisha(wakisha)
Ibaki ni ma moshi zinatoka hadi na dirisha(dirisha)

Cheki, si unaeza chizi ukikimbiza mbuzi ngozi inakaa doh
Si ni kumatisha, wako lamba lolo isha tu go
Hujaskia ma morio flani wakali wametoka Dago
Si wamekam na ingine mbaya si unasikia vile inadunda bro

Hiyo cheki, hii ni ile mbaya mlikuwa mkiongojea
Niliiskia mkiongea ikabaki ni kuwaletea 
Hii ni, ile fiti iko na kikadi snare 
Hii ni beat nikiwa nayo hadi mambo nitawapea

Hii ni, ile ya mafans wangu kuwagotea 
Kuwashow bado niko si ati mi nilipotea
Hii ni, ile ya jeshi kumatisha
Jeshi cheza chini na bado pia ujue kumatisha
Jeshi ilegezagi mabata bado huziwakisha
Kwanza ikuwe tamasha hapo ndio sasa 
Sisi huzimati(matisha)

Hii ni ngoma ingine mtaani inaitwa matisha(matisha)
Brand new style inaitwa matisha(matisha)
Ka una kikolo kinare iko area wakisha(wakisha)
Ibaki ni ma moshi zinatoka hadi na diri-(dirisha)

Hii ni ngoma ingine mtaani inaitwa matisha(matisha)
Brand new style inaitwa matisha(matisha)
Ka una kikolo kinare iko area wakisha(wakisha)
Ibaki ni ma moshi zinatoka hadi na dirisha eeh(dirisha)

Yeah yeah, ni Zzero 
Kama sos mi ndio Soss
Mi ndio Boss
Mi ndio World Boss
Eeh, big up Megalinks Productions

Watch Video

About Matisha

Album : Matisha (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 09 , 2019

More ZZERO SUFURI Lyrics

ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl