Manzi Lyrics by ZZERO SUFURI


Cheki, ati
Hakuna kitu fiti ka kuwa na manzi 
Manzi manzi 
Alafu bahati nzuri uko na ganji 
Ganji ganji

Badala ya stress mi huprefer nikate maji
Maji maji
Nikishika doh mi huomba nimtoe kwa watiaji
Aje 

Natamani nikupate, aki nikupate kwangu
Kati nikate na kanipe saa ni sake
Mkate tusikate, nipate 
Wacha wafuate hadi ifike ni karate
Tupigane ndo wakuache 
Wasikuchoche ati ndio uniache 
Si tuende nikushow machoche, mamorio ukawagotee
Naskia unapenda sauce, si twende nikubuyie zote

Hakuna kitu fiti ka kuwa na manzi 
Manzi manzi 
Alafu bahati nzuri uko na ganji 
Ganji ganji

Badala ya stress mi huprefer nikate maji
Maji maji
Nikishika doh mi huomba nimtoe kwa watiaji
Aje 

Eeh 
Ati nijipate niko ndani, keja ni ati kwa jirani
Gethaa ilikuwa ni mamchana mamchana ikiingia gizani
Najipata nikishtuka usingizi nililala nikidhani
Eeh kucheki cheki kadem kapoa ka jirani
Kamekam kamedunga mini na huku nimeziona ndani
Sa hizo hata sina short na kanadai ati tut tut
Ukweli naskia nimuulize kwani hizo vitu ni za nani? eeh

Kam nicheze na hizo ndenge za kwako
Nikuonyeshe we ni mrembo kuliko hadi sistako
Siku hizi, mi ni morio hadi wa mathako
Buda yako nitamhepa aki ndamsho mi ni kigosho

Hakuna kitu fiti ka kuwa na manzi 
Manzi manzi 
Alafu bahati nzuri uko na ganji 
Ganji ganji

Badala ya stress mi huprefer nikate maji
Maji maji
Nikishika doh mi huomba nimtoe kwa watiaji
Aje 

Kam nicheze na hizo ndenge za kwako
Nikuonyeshe we ni mrembo kuliko hadi sistako
Siku hizi, mi ni morio hadi wa mathako
Buda yako nitamhepa aki ndamsho mi ni kigosho

Kam nicheze na hizo ndenge za kwako
Nikuonyeshe we ni mrembo kuliko hadi sistako
Siku hizi, mi ni morio hadi wa mathako
Buda yako nitamhepa aki ndamsho mi ni kigosho

Hakuna kitu fiti ka kuwa na manzi 
Manzi manzi 
Alafu bahati nzuri uko na ganji 
Ganji ganji

Badala ya stress mi huprefer nikate maji
Maji maji
Nikishika doh mi huomba nimtoe kwa watiaji
Aje 

Watch Video

About Manzi

Album : Manzi (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c)2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 27 , 2019

More ZZERO SUFURI Lyrics

ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl