ZORAVO Nikupe nini ? cover image

Nikupe nini ? Lyrics

Nikupe nini ? Lyrics by ZORAVO


Ayayayaya.. ya, umejawa wema na oooh
Ayayayaya.. ya. Yoyoyo…  Oyeee

Umejawa wema na fadhili
Ahadi zote kwangu ni kweli
Umenitoa mbali
Bado nasimama katika kweli
Ayaya

Sio kwasababu ya mali
Uzuri ama shekeli
Ila ni kwa wingi
Wa zako fadhili
Yayayaya ya

Sio kwasababu ya Mali
Uzuri ama shekeli
Ila ni kwa wingi wa zako fadhili yoo

Nikupe nini, (Eh bwana)
Maana fadhili zako ( Zadumu)
Milele na milele (eh bwana)
Nikupe nini (eh bwana aah)
Nikupe nini (Eh bwana)
Maana fadhili zako (Zadumu)
Milele na milele (eh bwana)

Kwa pendo lako la ajabu
Nimefunikwa tu...
Wala tena sina tabu eh
Yesu kwangu ni tabibu
Sitaki tena rejea
Hadidu za matabibu
Wanadamu
Zimejawa takwimu za hofu
Zita niharibu uuh yea
Sio kwasababu ya mali
Uzuri ama shekeli
Ila ni kwa wingi
Wa zako fadhili
Sio kwasababu ya mali
Uzuri ama shekeli
Ila ni kwa wingi
Wa zako fadhili
Yoyoyo ... yayaya

Nikupe nini, (Eh bwana)
Maana fadhili zako ( Zadumu)
Milele na milele (eh bwana)
Nikupe nini (eh bwana aah)
Nikupe nini (Eh bwana)
Maana fadhili zako (Zadumu)
Milele na milele (eh bwana)

 

 

 

Watch Video

About Nikupe nini ?

Album : Nikupe nini
Release Year : 2020
Added By : Afrika Lyrics
Published : May 03 , 2020

More ZORAVO Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl